Fahamu maua ya Rosela na faida zake

Wang Shu

JF-Expert Member
Feb 1, 2014
2,563
3,708
Rosela ni ni maua yanaoteshwa au kupandwa mazingira ya kawaida haswa nyumbani, maua haya yanapatikana kirahisi katika nyumba za ndugu, jamaa na marafiki na sehemu zinginezo japo kuwa baadhi ya watu huyaita maua damu



MATUMIZI YA ROSELA NA FAIDA ZAKE KWA BINADAMU
Maua ya rosella utengenezwa juisi inayo ongeza damu mwilini kwa haraka

Hutumiwa kama mboga na mbegu zake hutoa mafuta yanayo tumika kama dawa ya vidonda
Dawa ya magonjwa mbalimbali kama kushusha presha, sukari, uric acid mwilini, inatibu kikohozi na mafua, ina punguza mwili pia hutengeneza ngozi na kuifanya iwe laini.

Maua ya rosela hutumika kutengenezea juisi , chai ,jam, pia hutumiwa kama rangi ya chakula



MAMBO MENGINEYO KUHUSU MAUA HAYA

Maua ya rosella yana vitamin C,A,D B1,B2,calcium,magnesium,iron, nk

PENDEKEZO
Kulingana na matumizi na faida za maua ya rosella ni vyema kupanda kwa wingi maua haya katika mazingira ya nyumbani kama ya navyo pandwa maua mengine ili iwe rahisi kuyapata pindi yanapo hitajika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom