Fahamu kwanini mbwa hatumiwi na wachawi

Fahamu kwanini mbwa hatumiwi na wachawi

Hii hata mimi mama alinifunza hivyo, na zaid akasem pia kama nyumban, au jiran kuna mgonjwa na mmbwa akalia kwa mlio huo basi tambua mgonjwa atafariki tu.....alielezea zaidi kuwa huo ni UCHURO.
Na nimeshuhudia hili kwa vifo vya ndugu zang weng, maan tunafuga mmbwa.
Mkuu mngewachunguza vizuri waliowapa hii teknolojia huenda wakawa walikuwa wahusika wa michezo yote na hivyo walikuwa wanawaandaa kisaikolojia.
NB..msini 'quote' vibaya.
mbwaa anao uwezo wa kuona msiba katika mtaa usika ndan ya week mbili hadi mwezi mbele kwa kutoa mlio huu kwa mda wa dk kadhaa mlio huo ni huu hapa jaribu kukamata melod nadhan unaujua kishavufanye utafit uuuuuuuuuuooowh uuuuuuuuooooouuuuhw uuuuuuuuuuhw nilijchunguza hii tokea nikiwa mdogo nomethibitisha ni kweli bibi yangu ndio alirnieleza hii kitu nikaifanyia tafit
 
appoh mi navyojua ni kwamba mbwa akilia kwa melody hii uuuuuuuuuuooowh uuuuuuuuooooouuuuhw uuuuuuuuuuouu
ndo anakua kaona wachawi. na hii inatokea sana mida ya usiku wa manane
 
Enyi wadau!
KWANINI PAKA HUTUMIKA

katika viumbe vya kufugwa na mwanadam,Paka hawezi muona mchawi, ni kipofu kabisa, ndo maana anatumwa, Paka ameonekana kuwa kiumbe kinachotumiwa sana na wachawi na washirikina hii ni kwasababu Paka ana kichwa chepesi, anaelewa haraka na kukariri, paka anaweza tumwa chochote nyumbani kwako, paka anaweza kuja kukuchunguza maisha yako kichawi, mtakubaliana na mimi inaweza ukawa umejifungia ndani au umeleta kitu kwa siri ndani kwako ila utashangaa kibibi kichawi kinakwambia naona umenunua kitu fulani mjukuu wangu. sasa ndo ujiulize kimejuaje wakati kinakaa mtaa wa pili na wewe umeleta kwa siri? paka anao uwezo wa kukamata vitu kwa haraka,wengine watumwao ni ndege njiwa na bundi maana hawaoni uchawi.
MBWA JE YUKOJE?
kwa mbwa ni kinyume kidogo, mbwa anaona wachawi, anauwezo mkubwa sana wakuona uchawi, anakichwa kizito, hawezi tumwa na wachawi maana ataharibu kabisa kwakuwa anaona wachawi wengine, mbwa hafai, wengine hadi humwita mbwa ni najisi, hili ni kwasababu mbwa havumilii kuona majini au wachawi wanakatiza lazima atabweka! mbwa ameonekana kufaa katika ulinzi kwasababu anaona usiku wezi na wachawi. ukiona mbwa anabweka sana usiku nyumbani kwako usipuuzie chunguza lazima utakuta kuna tatizo.wengine wenye uwezo wa kuona ni KUKU na BATA ...hao wanaouwezo wa kumwona mchawi...hakikisha unawatumia wanyama wako kukurinda kwa kusikiliza milio yao.

Angalia vile Watanzania tuko nyuma. Kuamini uchawi wakati kuna science. Bado tumelala tunangoja NGUVU za wachawi mwaka 2017. Eh MUNGU tuhurumie na tuelimishe. Upuuzi mtupu. Completely rubbish with no scientific evidence.
 
Wanaoafikiri kuhusu uchawi huwa wana hadithi za kufikirika
 
Kuna habari niliwahi kusikia kwamba wazee wa zamani walikuwa wazuri katika kutambua ishara,waliweza kutabiri ukame kwa kuangalia miembe kama itatoa maua mengi

Kuangalia uwepo au kutokuwepo kwa ndege adimu

Na pia wanasema hata bundi ni mjumbe hauwawi,akiona jambo baya, huja mtaani kwenu kuwataarifu kwa kutoa sauti,sasa ni jukumu lenu kufuatilia kwa mtaalamu kujua/kuwatafsiria bundi yule alileta ujumbe gani,

Pia hata uwepo wa wadudu fulani, mfano kumbikumbi ni ishara mvua haziko mbali,

Kuna ndege wakilia sana chunguza,mfano kuku,anaweza kuwa kaona nyoka, mwewe,mwizi

Pia hata ndege aina ya kanga
 
Angalia vile Watanzania tuko nyuma. Kuamini uchawi wakati kuna science. Bado tumelala tunangoja NGUVU za wachawi mwaka 2017. Eh MUNGU tuhurumie na tuelimishe. Upuuzi mtupu. Completely rubbish with no scientific evidence.
Wee mama wewe! Ulitaka science ipi? Sipo kisayansi hapa
 
Mtoa mada aliekufundisha kuhusu najisi ya mbwa hajakumalizia, haishii kuwa najisi tu neno likaishia hapo tu. Neno linasema mmbwa ni najisi na kila kitu chake, ipokuwa mmbwa aliefundishwa kuwinda. Umeona kumbe waislam hawajakatazwa kumtumia umbwa, bali amewekewa mipaka, na hii mipaka haijaishia kwa mbwa tu, nitoe mfano wa kitu kinachotumiwa ni dini zote na kimewekewa mipaka. Kufanya mapenzi (tendo la ndoa) kufanya mapenzi nje ya ndoa haramu ila mkioana ni halali kufanya tendo hilo. Nilirudi kwako mtoa mada tafadhari leta mada unazozifahamu vizuri, na zenye kujenga kuliko za kuudhi wengine.
Upo sahihi. Jamaa kazungumza jambo asilolijua, jambo hili sio zuri.
 
Back
Top Bottom