Fahamu kwanini mbwa hatumiwi na wachawi

Fahamu kwanini mbwa hatumiwi na wachawi

Mbwa ana kamliokake ka kulalamika hivi alafu mlio wake ukokwachinichini na akilia hivyo kama anainamia chini hivi yaani kama anaona aibu viale anajiibiaibiavile kuangalia pembeni na kuleta USO chini.kumbe anataka kusema anachokiona lakini sijui hao walonzi wanamsuta kuamgalia vitu visivyo muhusu na kupiga kelele za chinichini.
 
Mkuu kuhusu njiwa na ushirikina bado nina kigagasiko(fanya tafiti). Naona huko ughaibuni hasa pale vatican kuna njiwa weupe wazuri...
 
Snoop Doggy Dogg....... Whats my name?
Lodi dodi
Tha Shiznit
Gz up hoes down
Anavuta bange 24/7 mchawi gani atamtumia?
Hata jichawi anamuogopa


Yale yaleeee, wabongo hawawezi kueleza kitu mpaka ajihusishe na black Americans. Yaani nyie watu mngejuwa jinsi mnavyo dharauliwa na hawa watu, basi tu.
 
Yale yaleeee, wabongo hawawezi kueleza kitu mpaka ajihusishe na black Americans. Yaani nyie watu mngejuwa jinsi mnavyo dharauliwa na hawa watu, basi tu.

,Mtu anajifananisha na mbwa (tayari kajidharau, hata anaona hafai kuwemo kwenye kundi la binadamu) Ni wapi nilipoonyesha kumshobokea, kumuenzi na kumtukuza?
 
Mtoa mada aliekufundisha kuhusu najisi ya mbwa hajakumalizia, haishii kuwa najisi tu neno likaishia hapo tu. Neno linasema mmbwa ni najisi na kila kitu chake, ipokuwa mmbwa aliefundishwa kuwinda. Umeona kumbe waislam hawajakatazwa kumtumia umbwa, bali amewekewa mipaka, na hii mipaka haijaishia kwa mbwa tu, nitoe mfano wa kitu kinachotumiwa ni dini zote na kimewekewa mipaka. Kufanya mapenzi (tendo la ndoa) kufanya mapenzi nje ya ndoa haramu ila mkioana ni halali kufanya tendo hilo. Nilirudi kwako mtoa mada tafadhari leta mada unazozifahamu vizuri, na zenye kujenga kuliko za kuudhi wengine.
 
mbwaa anao uwezo wa kuona msiba katika mtaa usika ndan ya week mbili hadi mwezi mbele kwa kutoa mlio huu kwa mda wa dk kadhaa mlio huo ni huu hapa jaribu kukamata melod nadhan unaujua kishavufanye utafit uuuuuuuuuuooowh uuuuuuuuooooouuuuhw uuuuuuuuuuhw nilijchunguza hii tokea nikiwa mdogo nomethibitisha ni kweli bibi yangu ndio alirnieleza hii kitu nikaifanyia tafit
Hii hata mimi mama alinifunza hivyo, na zaid akasem pia kama nyumban, au jiran kuna mgonjwa na mmbwa akalia kwa mlio huo basi tambua mgonjwa atafariki tu.....alielezea zaidi kuwa huo ni UCHURO.
Na nimeshuhudia hili kwa vifo vya ndugu zang weng, maan tunafuga mmbwa.
 
Yale yaleeee, wabongo hawawezi kueleza kitu mpaka ajihusishe na black Americans. Yaani nyie watu mngejuwa jinsi mnavyo dharauliwa na hawa watu, basi tu.
Jamani si utani tu!!! Mbona hapa bongo watu wanaudharau liana sana tu.Hata usiende mbali humu JF
Utasikia "WaTanzania bhana wajinga"
"Ngozi nyeusi balaa" Na Wanasema ni ndugu zetu.Hao wa Huko majuu hata hawatujui.
 
Hata mmbwa wa ulaya wanabweka pindi waonapo mchawi, na vinavyofanana au jamii hyo hubweka.
Sisi tuna Mexican dog(ingaw co ulaya lkn ni nnje ya bara letu) "gule gummbwa gudogogudogo gweupe" na huwa anabweka pindi aonapo hao majamaa ya ucku.
Chihuahua
 
Back
Top Bottom