Fahamu kuhusu msukule

Kesi nzito na kubwa kuliko zote kabisa Watumishi na Waumini wa Mungu wakiwa bado wako hapa duniani, ni ile ya kumsulubisha Yesu msalabani kwa mara ya pili; haina msamaha! Yeyote yule ambaye huwa anatamani kumuua Mtumishi au Muumini wa Mungu, dhambi yake ndiyo hii, kwa sababu the same person anatamani kumuua Yesu. Ni kesi mbaya kuliko kesi zote kwenye ulimwengu wa roho, mtu anaweza kupata akiwa bado anaishi hapa duniani!
 
Acha upopoma, wakati huku kwetu watoto wa wanaoshinda kanisani ndo wanabebwa kichawi KIRAHISI sana!!!


Kizibo
Hio yote kuto kuijua kweli na kutofahamu fumbo za shetani kushinda kanisani sio kufanya vita na nguvu za kichawi cha muhimu ni kushindana na kupambana na shetani na wapenda kazi wake
 

kwa anaetambua umeandika sentensi yenye maana mno.
 
Huo msukule ukiwa huko usukuleni itafika siku atakufa kikweli kweli au hafi mara mbili?
zikifika siku alizopangiwa na mungu anakufa, lakin mara nyng ni wagumu sana kufa sababu wako chini ya watengeneza magonjwa so no chance watawathuru watu wao

pia mtu kukufanya msukule ni process sio kazi ndogo, mpaka ajue tarehe yako ya kuzaliwa, jina la ukoo nk ili aiombe mizimu/malaika akizuiwa analazimika kushindana nayo ikiwa legelege unaenda na maji kweli
 
Fafanua vizur mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha upopoma, wakati huku kwetu watoto wa wanaoshinda kanisani ndo wanabebwa kichawi KIRAHISI sana!!!


Kizibo
Hawana ulinzi.wenye ulinzi hutaweza kuwachukua Wala kuwaloga.Kushinda kanisani siyo kigezo kuwa una yesu au mungu ndani yako.
 
Habari
Unaweza nipa jina la hiko kitabu nikisome?
 
Nafikiri kuna mahali kuhusu imani hayajakaa sawa.inawezekanaje mtu awachukue wengine kama misukule, Halafu atubu tu kwa Mungu asamehewe je wale aliowachukua misukule haki zao ipo wapi? Kila mtu jinsi anavyotendea watu wengine nae hivyo hivyo atatendewa kwa kipimo kile kile Hakuna cha kutenda ushetani halafu utegekee huruma ya kitubio no.utavuna ulichopanda.
 
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Nimecheka sana mkuu. Ila kuna ukweli mkubwa sana 🤣 🤣
 
Nafikir ungeambatanisha na video zao kabisa ili tuelewe zaidi
 
Kuna possibility ya msukule kurudi kwenye hali yake ya kawaida? Pia je huyo msukule ikifika siku yake ya kufa baada ya mmiliki wa mskule kufa kabisa inakuaje?
 
r
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…