Kama haya mambo ni ya kweli basi maisha ya mwanadamu ni fumbo kubwa sana hasa katika nyanja ya kuishi, kufa na (ufufuo)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna dawa ukipaka unamuona ,
Mimi nilibahatika kumuona msukule , huyu alikuwa anaonekana na kila mtu baada ya baba yake kukosea masharti
Alikuwa amekufa kama miaka 5, kumbe alichukuliwa msukule , alipopatikana eti serikali kwakuwa haiamin uchawi wakampeleka milembe
Baada ya muda Ikabid wamruhusu arud na mzee wake Makete
Siku moja naelekea mafinga nikapanda gari ,huyo had siti ya mwisho kuna nafas watu wanaikimbia ,yupo baba na mwanae(misukule) mm sijui , japo taarifa nilikuwa nazo kuhusu kupatikana kwa msukule kwa mzee baba kukosea masharti.
Nimekuja kujua nimekaa na msukule baada ya minong'ono ya abiria ndan ya gari kuoneshana .
Nilikuwa naenda mafinga
Mtoa maada, swali ni kuwa ntajuaje kuwa ndugu yangu kachukuliwa msukule (pale inapotokea ndugu yangu kafariki)...maana nataka kila ndugu yangu anapofariki niwe na prove kama kafa kweli au lah...
Mafuta gani ukimpaka unaona kilicho zikwa??.Mkuu huna ulijualo juu ya misukule,acha kuleta habari za kuokoteleza. Na kuwadanganya watu
Huwa iko hivi mtu baada ya kuuawa kishirikina kwa lengo la kuchukuliwa msukule huwa haendi kuzikwa kinacho zikwa huwa ni kitu eidha ya weza kuwa mbwa ,paka,punda nk, kwa watu wenye uwezo wa kuona huwa wanona live ,hata mnapo muaga marehemu huwa si yeye ni Jitu/ kitu tofauti,yeye huwa yupo sehemu kafichwa na hawezi kuongea na huwa anaona pilika zote zinavyofanyika na wakati mwingine huwaita ndugu zake lakini hawamsikii
Huwa kuna mwiko mmoja tu ambao ndugu wa marehemu kama wanahisi ndugu yao kachukuliwa kishirikina wakiufuata wachawi hushindwa kumchukua,nacho ni kutokulia,kwani katika ulimwengu wa kichawi unapomlilia mtu alochukuliwa kichawi husemekana kuwa mnashangilia na mnabariki tukio hili,so wewe mkuu unapotuambia habari za bakas huu ni uongo kabisa,I have experience with this mambos
Na kuna namna ambayo marehemu kiini macho hupakwa mafuta na huyo humfanya mtu alichukuliwa kichawi adhihilike ,maana wanachokuwa wameweka mbele pale huwa ni kiini macho tu,unaona ni binadamu kumbe ni kitu furani,ukimpaka hayo mafuta huyo mtu alichukuliwa kichawi hudhihilika live na kuonekana nini walichokuwa wameweka ,i
Sent using Jamii Forums mobile app
ACHA KUPOTOSHA UMA,KAA UKIJUA MAISHA YA KUABUDU BADO NI FUMBO AMBALO MPAKA WEWE UTAINGIA KABURIN HAKUNA JIBU UTAKUA UMELIPATA,IVI UNAFIKIRIA KWELI WEWE??NA KAMA UNAFIKIRIA KWANINI KUNA MADINI MENGI KWENYE HII DUNIA??UKINIJBU TUTAENDELEA.UKIWA NDANI YA YESU HAYO MAMBO UTAKUWA UNASIKIA KWA WENGINE
KWA JINA LANGU MTATOA PEPO MTANENA KWA LUGHA MPYA NA MATAKULA CHA KUFISHA WALA HAKITA WADHURU
NIME WAPA AMRI JUU YA KULA FALME NA MAMLAKA ZA GIZA
YESU ANASEMA NJOONI WOTE WENYE KUSUMBUKA NA KUELEMEWA NA MIZIGO NAYE ATAWAPUMZISHA HIYO NDIO MIZIGO YENYEWE
HAKUNA UGANGA WALA UCHAWI JUU YA ISRAEL
HAKUNA KITU KAMA HICHO DUNIANI,LIVINGTHING NEVER LIVE 4REVER,ELIMU YA KIDATO CHA KWANZA MIAKA HIYO NIKIWA GALANOS.JAPO TUNAPASWA KUMUITA MSHANA JR MZEE WA JICHO LA TATU AJE ATUJUZE ZAIDI,MAANA JAMAA NAE DAH HUWA SIJUI ANAMEZA WAPI SUMU ZAKE.Kuna maza angu mdogo alichukuliwa msukule.. kuna mtaalamu alifanikiwa kumrescue ila kumfanyia reverse transcription to condition yake ya awali na kumuachia uraiani ndo imekuwa mziki mwaka wa pili unakatika sasa
JE KUNA WATAALAMU WANAOWEZA KUREVERSE ENGINEER PROCESS NZIMA NA KUMCONVERT HUYO MTU KATIKA HALI YAKE YA KAWAIDA NA SOUL YAKE???
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini kinga zidi ya watu wanaochukuwa wenzao misukule?????
Nakubaliana nawe kabisa mkuu. Na uwepo wa mambo haya yanatuthibitishia 100% kuwa kuna life after a natural death.Kama haya mambo ni ya kweli basi maisha ya mwanadamu ni fumbo kubwa sana hasa katika nyanja ya kuishi, kufa na (ufufuo)
Sent using Jamii Forums mobile app
10-1=9Uchawi ni sanaaa pana sana. Kuna namna nyingi ya utekelzaji matokeo yanayo takiwa.
Ni kama mahesabu pia yaani 6+3=9, 7+2=9, 1+8=9, 4+5=9...
So uchukuliwaji wa msukule, ukiwa pro. Unanjia nyingi ya kufanikisha hilo, na hiyo ya juu ni moja wapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujue ukweli huu wewe uliye ndani ya Yesu, ili usiendelee kuhangaika na vitu ambavyo wala hutakiwi hata kuviwaza katika maisha yako kwa sababu havitakiwi kuwepo kabisa kwenye ratiba ya mambo yako ya kila siku: Jua kwa uhakika kabisa kuwa Bwana au Yesu:UKIWA NDANI YA YESU HAYO MAMBO UTAKUWA UNASIKIA KWA WENGINE
KWA JINA LANGU MTATOA PEPO MTANENA KWA LUGHA MPYA NA MATAKULA CHA KUFISHA WALA HAKITA WADHURU
NIME WAPA AMRI JUU YA KULA FALME NA MAMLAKA ZA GIZA
YESU ANASEMA NJOONI WOTE WENYE KUSUMBUKA NA KUELEMEWA NA MIZIGO NAYE ATAWAPUMZISHA HIYO NDIO MIZIGO YENYEWE
HAKUNA UGANGA WALA UCHAWI JUU YA ISRAEL
Mpelekeni kwenye Kanisa la walokole, ni swala la dakika kadhaa tu. Yaani hata usipomkuta Mchungaji, wakabdihi vijana tu walioko hapo Kanisani halafu subiri dakika kadhaa. Nakuhakikishia hilo wala siyo utani! Walokole wanafufua aliyekufa, achilia mbali Msukule. Mnaweza pia mkampeleka kwa Mchungaji Josephat Gwajima kwa sababu yeye kufufua wafu ndiyo chai yake ya asubuhi. Utafikiri ninakudanganya!Kuna maza angu mdogo alichukuliwa msukule.. kuna mtaalamu alifanikiwa kumrescue ila kumfanyia reverse transcription to condition yake ya awali na kumuachia uraiani ndo imekuwa mziki mwaka wa pili unakatika sasa
JE KUNA WATAALAMU WANAOWEZA KUREVERSE ENGINEER PROCESS NZIMA NA KUMCONVERT HUYO MTU KATIKA HALI YAKE YA KAWAIDA NA SOUL YAKE???
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nikasema kama ni ya kweli[/color] maana nayo kuyathibitisha ni fumbo na mtihani mwingineNakubaliana nawe kabisa mkuu. Na uwepo wa mambo haya yanatuthibitishia 100% kuwa kuna life after a natural death.
Cha kutusaidia hapa duniani ni kutenda haki tuu,ili tuwe na mwisho mwema hayo mengine tutakutana nayo kama yapo.