Fahamu kuhusu Kilimo cha Limao na Ndimu

Jinsi ya kuandaa kitalu cha malimao

1.Tafuta malimao yaliyokomaa, ukipata Yale ambayo yameshatia njano ni vizuri zaidi

2.kata pande mbili na ukamue zile mbegu zake kwenye chombo

3. Safisha mbegu zako kwa maji safi

4.Anika mbegu zako kama jua lipo la kutosha siku moja tu inatosha

JINSI YA KUOTESHA MBEGU ZA MALIMAO KWENYE KITALU

1.Tafuta eneo lenye kivuli ambalo halina jua kali

2.Tengeneza Tuta lako likiwa pembe nne ni vizuri zaidi

3.Lainisha udongo wa kwenye Tuta mpaka uwe laini

4.Mwaga mbegu zako kwenye kitalu

5.Funika mbegu zako kwa kutumia udongo laini ambao hauna mawe.

6.Funika na matandazo kama nyasi

7.Endelea kumwagilia maji kwenye kitalu kuhakikisha unyevunyevu haupungui.

NINI CHA KUFANYA MBEGU ZIKIANZA KUOTA

1.Andaa udongo wa Mtoni, udongo wa msituni na mbolea ya samadi kwa Ratio ya 1:2:3 inategemea na aina ya kipimo unachotumia ila mara nyingi tunatumia ndoo

2.kata viriba vyako kuanzia cm 7 mpaka 10

3.jaza viriba vyako udongo uliouandaa

4.panga viriba vyako kwenye kivuli vizuri

5.Anza kung'oa miche angalau yenye majani mawili mpaka matatu na uichomeke kwenye viriba

6.Endelea kumwagilia maji kuhakikisha unyevunyevu haupungui

JINSI YA KUPANDA MICHE YA LIMAO SHAMBANI

1.Andaa shamba lako

2.Andaa mashimo yako, shimo liwe angalau Futi mbili urefu na Futi mbili upana (umbali wa shimo hadi shimo iwe angalau mita 5mpaka mita 7 na mstari mpaka mstari hivyo hivyo

3 weka mbolea ya samadi angalau ndoo ndogo mbili kila shimo

4.panda mche wako wa limao

Kumbuka muda mzuri wa kupanda mche wa mlimao ni kipindi cha masika

Kama hujaridhika na maelezo nitafute pm

3.
 
TAHA ya nini mkuu wakati super Market zetu zina Malimau kutoka Uganda? Yetu ndo yale yasio kuwa na qualitt. Soko la ndani bado kubwa lipo na linatosha kabisa.


Mkuu supermarkets wanahitaji quality ambazo hazina tofauti na soko la nje, hapa ndipo wabongo wanapofeli. Ukibugi kwenye uchaguzi wa mbegu, viwatilifu utauza soko la kilombero, kariakoo

Napenda sana kuwashauri watz walime kwa lengo la kuuza soko la ulaya japo gharama ni kubwa sana, ukifanya hivi utakuwa na vigezo vya kuuza supermarkets za ndani, mahoteli ya kitalii, nje nk
 
Jinsi ya kuandaa kitalu cha malimao

1.Tafuta malimao yaliyokomaa, ukipata Yale ambayo yameshatia njano ni vizuri zaidi

2.kata pande mbili na ukamue zile mbegu zake kwenye chombo

3. Safisha mbegu zako kwa maji safi

4.Anika mbegu zako kama jua lipo la kutosha siku moja tu inatosha

JINSI YA KUOTESHA MBEGU ZA MALIMAO KWENYE KITALU

1.Tafuta eneo lenye kivuli ambalo halina jua kali

2.Tengeneza Tuta lako likiwa pembe nne ni vizuri zaidi

3.Lainisha udongo wa kwenye Tuta mpaka uwe laini

4.Mwaga mbegu zako kwenye kitalu

5.Funika mbegu zako kwa kutumia udongo laini ambao hauna mawe.

6.Funika na matandazo kama nyasi

7.Endelea kumwagilia maji kwenye kitalu kuhakikisha unyevunyevu haupungui.

NINI CHA KUFANYA MBEGU ZIKIANZA KUOTA

1.Andaa udongo wa Mtoni, udongo wa msituni na mbolea ya samadi kwa Ratio ya 1:2:3 inategemea na aina ya kipimo unachotumia ila mara nyingi tunatumia ndoo

2.kata viriba vyako kuanzia cm 7 mpaka 10

3.jaza viriba vyako udongo uliouandaa

4.panga viriba vyako kwenye kivuli vizuri

5.Anza kung'oa miche angalau yenye majani mawili mpaka matatu na uichomeke kwenye viriba

6.Endelea kumwagilia maji kuhakikisha unyevunyevu haupungui

JINSI YA KUPANDA MICHE YA LIMAO SHAMBANI

1.Andaa shamba lako

2.Andaa mashimo yako, shimo liwe angalau Futi mbili urefu na Futi mbili upana (umbali wa shimo hadi shimo iwe angalau mita 5mpaka mita 7 na mstari mpaka mstari hivyo hivyo

3 weka mbolea ya samadi angalau ndoo ndogo mbili kila shimo

4.panda mche wako wa limao

Kumbuka muda mzuri wa kupanda mche wa mlimao ni kipindi cha masika

Kama hujaridhika na maelezo nitafute pm

3.
Mkuu nashukuru sana kwa maelelezo yako nimekuelewa vizuri sana

nipo huku bro Tdm naomba nisaidie namba yako pm.Asante
 
Asante mkuu, limao pia ni tiba ndio maana nikaona fursa ingawa nimechelewa sana!
Hilo wazo la nimechelewa liondoe kwenye akili yako Tanzania kuna watu wangap ambao hawajawaza wazo kama lako so its a right time kikubwa zingatia ushauri wa wataalamu na ufanyie kazi.Siku zote binadamu tumeumbwa na pupa so acha kujikatisha tamaa eti nimechelewa sana don't think about that still upo vizuri we ingia kwenye field ALLAH AKUFANYIE WEPESI...
 
Hilo wazo la nimechelewa liondoe kwenye akili yako Tanzania kuna watu wangap ambao hawajawaza wazo kama lako so its a right time kikubwa zingatia ushauri wa wataalamu na ufanyie kazi.Siku zote binadamu tumeumbwa na pupa so acha kujikatisha tamaa eti nimechelewa sana don't think about that still upo vizuri we ingia kwenye field ALLAH AKUFANYIE WEPESI...
Nashukuru ngoja tupambane mkuu!
 
Jinsi ya kuandaa kitalu cha malimao

1.Tafuta malimao yaliyokomaa, ukipata Yale ambayo yameshatia njano ni vizuri zaidi

2.kata pande mbili na ukamue zile mbegu zake kwenye chombo

3. Safisha mbegu zako kwa maji safi

4.Anika mbegu zako kama jua lipo la kutosha siku moja tu inatosha

JINSI YA KUOTESHA MBEGU ZA MALIMAO KWENYE KITALU

1.Tafuta eneo lenye kivuli ambalo halina jua kali

2.Tengeneza Tuta lako likiwa pembe nne ni vizuri zaidi

3.Lainisha udongo wa kwenye Tuta mpaka uwe laini

4.Mwaga mbegu zako kwenye kitalu

5.Funika mbegu zako kwa kutumia udongo laini ambao hauna mawe.

6.Funika na matandazo kama nyasi

7.Endelea kumwagilia maji kwenye kitalu kuhakikisha unyevunyevu haupungui.

NINI CHA KUFANYA MBEGU ZIKIANZA KUOTA

1.Andaa udongo wa Mtoni, udongo wa msituni na mbolea ya samadi kwa Ratio ya 1:2:3 inategemea na aina ya kipimo unachotumia ila mara nyingi tunatumia ndoo

2.kata viriba vyako kuanzia cm 7 mpaka 10

3.jaza viriba vyako udongo uliouandaa

4.panga viriba vyako kwenye kivuli vizuri

5.Anza kung'oa miche angalau yenye majani mawili mpaka matatu na uichomeke kwenye viriba

6.Endelea kumwagilia maji kuhakikisha unyevunyevu haupungui

JINSI YA KUPANDA MICHE YA LIMAO SHAMBANI

1.Andaa shamba lako

2.Andaa mashimo yako, shimo liwe angalau Futi mbili urefu na Futi mbili upana (umbali wa shimo hadi shimo iwe angalau mita 5mpaka mita 7 na mstari mpaka mstari hivyo hivyo

3 weka mbolea ya samadi angalau ndoo ndogo mbili kila shimo

4.panda mche wako wa limao

Kumbuka muda mzuri wa kupanda mche wa mlimao ni kipindi cha masika

Kama hujaridhika na maelezo nitafute pm

3.
Maelezo yamejitosheleza zao la limao liko juu Sana
 
Jinsi ya kuandaa kitalu cha malimao

1.Tafuta malimao yaliyokomaa, ukipata Yale ambayo yameshatia njano ni vizuri zaidi

2.kata pande mbili na ukamue zile mbegu zake kwenye chombo

3. Safisha mbegu zako kwa maji safi

4.Anika mbegu zako kama jua lipo la kutosha siku moja tu inatosha

JINSI YA KUOTESHA MBEGU ZA MALIMAO KWENYE KITALU

1.Tafuta eneo lenye kivuli ambalo halina jua kali

2.Tengeneza Tuta lako likiwa pembe nne ni vizuri zaidi

3.Lainisha udongo wa kwenye Tuta mpaka uwe laini

4.Mwaga mbegu zako kwenye kitalu

5.Funika mbegu zako kwa kutumia udongo laini ambao hauna mawe.

6.Funika na matandazo kama nyasi

7.Endelea kumwagilia maji kwenye kitalu kuhakikisha unyevunyevu haupungui.

NINI CHA KUFANYA MBEGU ZIKIANZA KUOTA

1.Andaa udongo wa Mtoni, udongo wa msituni na mbolea ya samadi kwa Ratio ya 1:2:3 inategemea na aina ya kipimo unachotumia ila mara nyingi tunatumia ndoo

2.kata viriba vyako kuanzia cm 7 mpaka 10

3.jaza viriba vyako udongo uliouandaa

4.panga viriba vyako kwenye kivuli vizuri

5.Anza kung'oa miche angalau yenye majani mawili mpaka matatu na uichomeke kwenye viriba

6.Endelea kumwagilia maji kuhakikisha unyevunyevu haupungui

JINSI YA KUPANDA MICHE YA LIMAO SHAMBANI

1.Andaa shamba lako

2.Andaa mashimo yako, shimo liwe angalau Futi mbili urefu na Futi mbili upana (umbali wa shimo hadi shimo iwe angalau mita 5mpaka mita 7 na mstari mpaka mstari hivyo hivyo

3 weka mbolea ya samadi angalau ndoo ndogo mbili kila shimo

4.panda mche wako wa limao

Kumbuka muda mzuri wa kupanda mche wa mlimao ni kipindi cha masika

Kama hujaridhika na maelezo nitafute pm

3.
Akhsante kwa maarifa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom