UndercoverTrader255
Member
- Jul 8, 2021
- 88
- 165
Habari wana JF,
Napenda kujua zaidi kwa wakulima wanaofahamu kilimo cha ulezi namna ya kuandaa shamba, upandaji wake pia mavuno wastani kwa heka moja ni kiasi gani.
NB: Wanaojua tu au aliewahi kushuhudia kilimo cha ulezi na mavuno yake.
Napenda kujua zaidi kwa wakulima wanaofahamu kilimo cha ulezi namna ya kuandaa shamba, upandaji wake pia mavuno wastani kwa heka moja ni kiasi gani.
NB: Wanaojua tu au aliewahi kushuhudia kilimo cha ulezi na mavuno yake.