Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,319
- 4,355
Sasa uki hack utajuaje competence yako mkuu?
Sasa uki hack utajuaje competence yako mkuu?
unakuata mtu ushacheza ilo game zaid ya miak 4 tang linautwa "going east" ukatokea kubadili compyuta au kuanza ptofile mpya, so unahack tu izo levo na kuanzia levo ya juuSasa uki hack utajuaje competence yako mkuu?
Sijahack,nihack ili iweje au hz pesa zitabadilika kua za kweli!?
hahahahaaSijahack,nihack ili iweje au hz pesa zitabadilika kua za kweli!?
Hii game shacheza Sana bila mods na nilifika mbali tu, mods pia zinaongeza ladha zaidi ya game.bado hujacheza gemu, kucheza gemu anza ukiwa zero mpka uje ufikie uwe professional na Euro zakutosha na garage zako
yeah.. tumia mod lakini sio cheatsHii game shacheza Sana bila mods na nilifika mbali tu, mods pia zinaongeza ladha zaidi ya game.
Anaejua kuondoa Speed limit ya 90KPH!
Kwangu hio option haionekani.View attachment 1028650nenda option, game play, then toa tick kwenye truck speed limitor utaenda zaid ya 200kph kulingana na gari yako
Mbona unatumia old versionMsaada jaman nimedownload v 1.32.1.2 nmeinstall lakin nkifungua linaandika "UNABLE TO DETECT GRAPHICS OR GRAPHICS INVALID "
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee hata sikumbuki, maana ni mda sijalicheza ila hio option haipo mle. Nilikuwa nachukia sana vigari vidogo vikinipita speed highwayUna version gani ya game?
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Hahah,mkuu hilo litkua old sana kias hata option ya kutoa speed limiter haunaAisee hata sikumbuki, maana ni mda sijalicheza ila hio option haipo mle. Nilikuwa nachukia sana vigari vidogo vikinipita speed highway
Hili lina magari mapya?Hahah,mkuu hilo litkua old sana kias hata option ya kutoa speed limiter hauna
Chakufanya pakua latest version
Download Euro Truck Simulator 2 (v1.33.2s + 65 DLCs, MULTi41) [FitGirl Repack] Torrent | 1337x
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Pamoja mkuu natumia 1.32Bado mkuu...ila soon tu nafkri ataachia
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Hahah naelewa...kuna mods moja ya russian baikal ,,,ina hatarPamoja mkuu natumia 1.32
si unajua tena si wazee wa rough road
Midibwi ya haja madaraja hatari milima kitonga haioni ndani yaan ugongwa wangu kwenye hii ni barabara za vumbi tu yaan zile map za barabara mbovumbovu km za kibongo