Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

Si tuame tucheze multiplayer jaman
Screenshot_20210623-144732.jpg
 
unafanyaje sasa ili mcheze pamoja
na vipi kuhusu map kama mtu ana map nyingine tofauti inakuwaje mzee mwaga mautundu mi napiga route yatima kumbe inawezekana kucheza mult bhana halafu nimeona mibus ya bongo huwa mnaambiana kwamba tuingie tucheze au inakuaje
 
na vipi kuhusu map kama mtu ana map nyingine tofauti inakuwaje mzee mwaga mautundu mi napiga route yatima kumbe inawezekana kucheza mult bhana halafu nimeona mibus ya bongo huwa mnaambiana kwamba tuingie tucheze au inakuaje
heheehheehheh!!!!! jamii forum bana imeficha ID za watu wengi, yaani kama vile hatuelewani humu

ila najua wengi tunafahamiana .

ikiwa unahitaji/mnahitaji, kujiunga na hao jamaa wanao play ETS2 murtplayer njoo PM chap nikuunganishe nao.
 
Wazee wa road trip heshima kwenu kimejipiga piga nimechukua pc kitu cha kwanza kuweka ETS sasa naomba kujuzwa ni namna gani nicheze bila kuharibu bettry yangu... View attachment 1836128
HONGELA mkuu

ukihitaji battery liweze kudumu muda mrefu fanya mambo yafuatayo.

1]hakikisha unaitoa hiyo battery kwenye pc pindi unapohitaji kucheza game lolote lile,
hii ni kwa sababu pc inaporun game lolote lile huwa inatumia nguvu kubwa.

2]epuka kucheza game ukiwa kwenye godolo
kwenye picha hapo ninaona unacheza ets2 kwenye godolo,jaribu kutafuta sehemu ambayo hewa inaweza kupita sehemu zote au kama kuna feni hapo hakikisha unaiwasha na unalielekezea kwenye pc kipindi unacheza game.

3]usicheze game ikiwa haujaunganisha umeme kwenye pc
hii kitu inauwa sana battery yaani unakuta mtu anacheza game kwenye pc ilihai umeme umeme ulikatika/haupo kisa tu pc ina battery anaamua kucheza game hivyo hivyo ndugu epuka kufanya hivyo hata kama umefika kwenye mission nzuli kiasi gani.

kwa kufanya hivyo battery la pc yako utaifanya iweze kukaa muda mrefu.
kwa ninayoyafahamu ni hayo tu niachie wadau wengine waongezee
 
HONGELA mkuu

ukihitaji battery liweze kudumu muda mrefu fanya mambo yafuatayo.

1]hakikisha unaitoa hiyo battery kwenye pc pindi unapohitaji kucheza game lolote lile,
hii ni kwa sababu pc inaporun game lolote lile huwa inatumia nguvu kubwa.

2]epuka kucheza game ukiwa kwenye godolo
kwenye picha hapo ninaona unacheza ets2 kwenye godolo,jaribu kutafuta sehemu ambayo hewa inaweza kupita sehemu zote au kama kuna feni hapo hakikisha unaiwasha na unalielekezea kwenye pc kipindi unacheza game.

3]usicheze game ikiwa haujaunganisha umeme kwenye pc
hii kitu inauwa sana battery yaani unakuta mtu anacheza game kwenye pc ilihai umeme umeme ulikatika/haupo kisa tu pc ina battery anaamua kucheza game hivyo hivyo ndugu epuka kufanya hivyo hata kama umefika kwenye mission nzuli kiasi gani.

kwa kufanya hivyo battery la pc yako utaifanya iweze kukaa muda mrefu.
kwa ninayoyafahamu ni hayo tu niachie wadau wengine waongezee

Fortunately nadhan njia nzuri n kutoa bettry
 
HONGELA mkuu

ukihitaji battery liweze kudumu muda mrefu fanya mambo yafuatayo.

1]hakikisha unaitoa hiyo battery kwenye pc pindi unapohitaji kucheza game lolote lile,
hii ni kwa sababu pc inaporun game lolote lile huwa inatumia nguvu kubwa.

2]epuka kucheza game ukiwa kwenye godolo
kwenye picha hapo ninaona unacheza ets2 kwenye godolo,jaribu kutafuta sehemu ambayo hewa inaweza kupita sehemu zote au kama kuna feni hapo hakikisha unaiwasha na unalielekezea kwenye pc kipindi unacheza game.

3]usicheze game ikiwa haujaunganisha umeme kwenye pc
hii kitu inauwa sana battery yaani unakuta mtu anacheza game kwenye pc ilihai umeme umeme ulikatika/haupo kisa tu pc ina battery anaamua kucheza game hivyo hivyo ndugu epuka kufanya hivyo hata kama umefika kwenye mission nzuli kiasi gani.

kwa kufanya hivyo battery la pc yako utaifanya iweze kukaa muda mrefu.
kwa ninayoyafahamu ni hayo tu niachie wadau wengine waongezee
mkuu Shukrani sanaa... Kwa msaada wako... Nitautendea kazi...
 
Back
Top Bottom