Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 5,438
- 12,614
Hakuna namna ni kutoa tu bettryFortunately nadhan njia nzuri n kutoa bettry
Hakuna namna ni kutoa tu bettryFortunately nadhan njia nzuri n kutoa bettry
Ukiacha hii kunaiyo rus map nikisanga
Pamoja mshua
Pamoja mshua
Kwa kifupi ramani ni nyingi mnoUkiacha hii kunaiyo rus map nikisanga
1)harsh russian siberiaNdio ina download mkuu
Naomben rough road za 1.40
Copy izo file mwisho zimeandikwa scs kisha nenda kwenye document kisha fungua file la euro truck kisha file la mod kisha pest ivyo vi file uko kisha washa game lako endelea na mambo mengine ila hakikisha version ya game na mod vipo sawakuna link ya map ilipostiwa humu, bas nikachukua den nikadownload baada ya kue extract ilo file vimekuja vitu ivii, so naomba msaada nini kinafuata baada ya hapa wakuu...
View attachment 1854618
1.Tengeneza mpesa au Airtel mastercard kisha link na PayPal.Wakuu embu nielekezeni apa nataka wataalamu wa it jinsi ya kuweka hela paypal ili niweze kulipia ile map ya roex extended na promod ili niweze kucheza kwenye maeneo magumu nicheze kwenye map combo zikiwa kwa pamoja +Poland ribuld rus map na nyingine nyingi
Sent from my TECNO Camon CXS using JamiiForums mobile app
nishafanya iv lkn bado mkuuCopy izo file mwisho zimeandikwa scs kisha nenda kwenye document kisha fungua file la euro truck kisha file la mod kisha pest ivyo vi file uko kisha washa game lako endelea na mambo mengine ila hakikisha version ya game na mod vipo sawa
Sent from my TECNO Camon CXS using JamiiForums mobile app
Nenda kwenye repack kisha sachi ilo game kisha chukua vision ya 1.41 ila hakikisha kwenye PC yako kuna faili la u torrentmsaada plz...
nataka kudownload hili game eurotruck...nianzie wap?
Hilo faili la u torrent nalipatia wapi mkuu...Mana nashindwa ata kudownlod movieNenda kwenye repack kisha sachi ilo game kisha chukua vision ya 1.41 ila hakikisha kwenye PC yako kuna faili la u torrent
Hilo faili la u torrent nalipatia wapi mkuu...Mana nashindwa ata kudownlod movie
mzee fanya yafuatayokuna link ya map ilipostiwa humu, bas nikachukua den nikadownload baada ya kue extract ilo file vimekuja vitu ivii, so naomba msaada nini kinafuata baada ya hapa wakuu...
View attachment 1854618