Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 9,279
- 13,707
Nafuatilia kwa umakini utapeli ambao unaendeshwa na chama cha Demokrasia na Maendeleo kupitia kwa kiongozi wao ambaye Yuko Gerezani Tundu Antipas Lissu
Kwa kuwafungua masikio na macho watanzania nawaambia gerezani pesa taslim, Simu haziruhusiwi lakini pia kama mtu anaumwa serious uko utaratibu wa kupelekwa hospital na wafungwa pamoja na mahabusu huwa wanatibiwa free of charge katika hospital za Public na hairuhusiwi kwa mfungwa wala mahabusu kutibiwa hospitali za private
Hivyo nawasanua watanzania mnajaza vitambi vya watu kwa hizo jero jero zenu afadhali hata ununulie vocha wanasema zimefika 20million ni kiasi kikubwa halafu hata matumizi hayajaanishwa
Think critically kabla hujaingia katika scammers project huu utapeli ni cheap sana ni suala la reasoning tuu.
Epuka matapeli wa mitandaoni.
Kwa kuwafungua masikio na macho watanzania nawaambia gerezani pesa taslim, Simu haziruhusiwi lakini pia kama mtu anaumwa serious uko utaratibu wa kupelekwa hospital na wafungwa pamoja na mahabusu huwa wanatibiwa free of charge katika hospital za Public na hairuhusiwi kwa mfungwa wala mahabusu kutibiwa hospitali za private
Hivyo nawasanua watanzania mnajaza vitambi vya watu kwa hizo jero jero zenu afadhali hata ununulie vocha wanasema zimefika 20million ni kiasi kikubwa halafu hata matumizi hayajaanishwa
Think critically kabla hujaingia katika scammers project huu utapeli ni cheap sana ni suala la reasoning tuu.
Epuka matapeli wa mitandaoni.