Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
KISWAHILI bana-eti wanaume wanamuona kama kituo cha polisi- yaani ni wa kumkalia mbali
Wanamuonea aibu kumtokea si kwa jingine
Yaani wanashindwa kupanga sera wanaamua kujing'ata ng'ata.
KISWAHILI bana-eti wanaume wanamuona kama kituo cha polisi- yaani ni wa kumkalia mbali
Sophia Simba ni bomu kweli kweli; ana sema mkataba wa ile nyumba ya UWT pale Morroco haufai hata nukta moja!! Mkataba wa kujenga nyumba ile baada ya kubomoa GOGO hotel ulitekelezwa Anna Abdalla akiwa mwenyekiti wa UWT, kwahiyo kwa kuuponda mkataba huo anamponda Anna Abdalla na viongozi wote waliokuwepo hapo kabla yake!! Kama kweli mkataba hauna maslahi kwa UWT , inaonesha wazi mapungufu yaliyopo CCM kwani mradi mkubwa kama huo lazima ungetakiwa kupata baraka za NEC ya ccm kama ilivyotokea utata kwenye mradi wa jengo la Umoja wa vijana ambapo NEC ya CCM iliamuru mkataba uangaliwe upya!! Huyu mama hafai kuwa kiongozi kwani hana maadili; alikuwa anafanya ufuska na Kitwana Kondo huku akijua kuwa ni mume wa mtu ; kwahiyo nadhani hata sasa anaendelea na tabia hiyo ambayo ni hatari kwa usalama wa nchi yetu kwa waziri wa sehemu nyeti kama hii ya UTAWALA BORA!![/QUOTE]
Umeipata wapi hii conclusion tena? sijaona katika interview hii kama unaweza kupata conclusion hiyo. Kama huko interested, tafuta mme wake alifariki lini, jua alizaa lini na KK, halafu utoe conclusion yako hiyo. Siyo kijiwe hiki.
Waberoya ukisoma vizuri mahojiano ya huyu mama kama yalivyoandikwa, kuna mahala anakili kuwa hakuwahi kuolewa na Kitwana Kondo lakini anamtoto wake wa kiume!! Pia anakili kuwa alipokuwa na mahusiano na KK huyu babu alikuwa na mkewe!! Majibu yake haya ndiyo yamenifanya nifike conclusion ya kuwa hana maadili!! Upo hapo mkuu?
Waberoya ukisoma vizuri mahojiano ya huyu mama kama yalivyoandikwa, kuna mahala anakili kuwa hakuwahi kuolewa na Kitwana Kondo lakini anamtoto wake wa kiume!! Pia anakili kuwa alipokuwa na mahusiano na KK huyu babu alikuwa na mkewe!! Majibu yake haya ndiyo yamenifanya nifike conclusion ya kuwa hana maadili!! Upo hapo mkuu?
Aha ha ha nimekuelewa mkuu! ila napenda kupanua wigo wa discussion kutokana na conclusion yako, I may be in your side or not, so dont get irritated nataka tujadili, tufikie wote kucheka. Asante umenikumbusha kuwa KK alikuwa ameoa, nadhani yeye anaweza akawa na nguvu za dini yake kuwa ina mruhusu( may be) ila kwa SS na ukatoliki wake alikosea kabisa!
Nitarudi baadae kuhusu huyu Mama wa Kizaramo , Mhe Waziri wa Utawala Bora :- Inaonekana kweli anajua utawala bora kwa wanaume, sina uhakika kama anaingia humu jamvini. Maana kuna issues ambazo zina utata, napata shida kuamini kuwa Waziri wa Utawala Bora, mkristu kwa dini -kukiri kufanya uasherati na mume wa mtu hadharani. Huyu anatufaa kweli kuwa Waziri au mfano kwa Watanzania? wanawake wa CCM? Shame on you Mama Simba. Kazaliwa 27 July 1950 ,Hajasema alifanya kazi na mwanaume wa shoka Moroni pale AICC sijui nani alimpokea mwenzake, hajasema ashakua pia Director huko AICC na ATC enzi hizo, au yaelekea Bwana Kubenea and Co. waliomfanyia interview walikua na interest na Mama Simba na Ndoa ndoano.
KK kama tulivyo wengi ni MBA(Married But Available) holder. Mama Simba analaumiwa kwa lipi wakati mumewe alishavuta?
Inaonyesha Zain wamepanga hapo Morocco. Je, ni nani mmiliki halisi wa mkataba huo( yaani Developer aliyeingia mkataba na UWT)? Mkataba wa miaka 33 si mchezo unaongelea kizazi kimoja; Kazi kweli kweli
amekuwa wazi sana ,
katka mahusianao alikuwa hajatulia
mwaka 72 aliolewa na msouth ambaye wamezaa nae watoto 2, mwaka 75 akawa nza mahusiano na mzee kondo akazaa nae mtoto 1
alikwa kicheche kimtindo, hajasema kwa sasa anakwapiuliwa na nani
Ukitaka kujua uwezo wake kichwani wewe angalia alivyojibu swali la kwanza! Tulio wazazi tuangalie sana namna ya kulea watoto wetu - kama wewe ni mwenda baa usiende nao kwani matunda ndio hayo. Mbona hajaelezea uanaume wa shoka wa yule jamaa, EL? Nina wasiwasi marehemu baba yake alikimbia shule! Hivi wakati anaanza na Kitwana Kondo mumewe alishafariki? Na kwa dini na dhehebu lake anatakiwa kutubu kwa kuvunja amri ya sita ya Mungu ingawaje ni siri yake. Michanganyiko kama hii uleta matunda mabovu - baba mwisilamu kawa mkristu wa Kiluteri, haya mama sista wa RC kaacha na kuolewa - sasa sijui aliaachishwa baada ya kupata mimba ya Bw. Mathew.
duuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!i love this mama!!
Inaonyesha Zain wamepanga hapo Morocco. Je, ni nani mmiliki halisi wa mkataba huo( yaani Developer aliyeingia mkataba na UWT)? Mkataba wa miaka 33 si mchezo unaongelea kizazi kimoja; Kazi kweli kweli