Fahamu historia ya Mama Sophia Mathew Simba

Ubarikiwe mama Sofia; Hapo umepasua jipu kwa maelezo yako saaafi yenye uwazi usio na mfano. Naona baadhi ya watu hapa wanajiumauma tu kwani ni wachache mno wenye ujasiri wa kujiweka wazi hivyo. HONGERA mama.
 
Ila kwa hakika mama amejifafanua vilivyo! Wachache wanaweza kuwa na ujasiri wa kueleza kila kitu cha maisha yao including the dark sides.
 
Jengo jipya limekwisha, linangojea kufunguliwa. Lakini kwa kifupi sana niseme kwamba jengo hilo jipya haliko chini ya management ya UWT. Jengo jipya mkataba uliosainiwa ulikuwa ni mkataba wa UWT kulipwa certain amout of money kwa mwaka, hakuna percentage.
Mkataba uliosainiwa haukuwa mzuri. Kwa hiyo, sisi UWT hatuna eneo lolote. Sisi tutakuwa tunapata kodi ndogo tu. Kiwanja bado ni cha kwetu, lakini lile jengo wale tumeingia nao mkataba wa miaka 33. Kwa hiyo they will run that thing kwa muda wa miaka 33. Sisi tutapata pesa kidogo.
Naona aibu hata kuzisema. Pesa tutakazozipata kwa mwaka hazisaidii hata kuwalipa mishahara makatibu wetu wote wa jumuiya lakini ndiyo hivyo tumejifunza kutokana na makosa.

Si useme tu - kuwa mnapata USD 120,000 kwa mwaka wakati 'mwekezaji' anatengeneza about USD 2m kwa mwaka huo huo? Halafu 'mwekezaji' kakopa NBC, kajenga kupangishia Celtel. Swali: Nyie UWT mlishindwa nini kwenda NBC kukopa kuwajengea Celtel office? Kisha unasema eti - tumejifunza! Miaka 33 inapotea hivi hivi tu, kiongozi anatuambia 'wanajifunza'! Na kama hilo limewashinda (wanajifunza) ni yapi wanayoweza? Kwa mtaji huu umaskini hauwezi kuisha Tanzania.
 
Mkuu hata mie hii imenipa tabu kidogo kuingia akilini ina maana ukuu wa wilaya na hiyo post ya ukatibu wa uwt ipi inamjukumu ya kiutendaji zaidi hasa ukizingatia elimu.Au mama sophia nataka kutuabia rais naye kapotoka kumchagua husna kuwa dc maana mama simba anadai yeye alipitiwa kuchangua kuwa msaidizi wake. o h god hii inchi ni wapi tunaelekea jamini?

Muungwana kamteua Bi Husna Mwilima kuwa mkuu wa wilaya jina limenitoka kidogo,ina maana nafasi ya ukuu wa wilaya wanateuliwa hata wasiokuwa na elimu ya kutosha.
 
Was it necessary au lazima kwake kujibu swali la yeye na Kitwana Kondo??? I wonder. Angejibu tu that is in my private store ah. kama mwanafunzi au miss kitongoji anayehojiwa!!
 
kweli mtoto umleavyo ndivyo akuavyo
Kabisa! Kwa historia hii:
"nyumba nusu baa
kufungua vizibo, kuuza mishikaki" mtoto wa kike na bado akawa na moyo wa kwenda shule hata kuolewa, nadhani msimuhukumu hata hiyo kuropoka ni tabia aliyojifunza kwenye hii biashara. Hongera mama hata hivyo bado upo muda wa wewe kujirudi
 
Kwa kweli huyu mama mimi namkubali sana for sure namuadmire ile mbaya. kwanza ni jasiri, hana woga na pia anafanya mambo yake kwa mipango. Sasa unajua sisi waswahili siku zote hatupendi watu waliokuwa strictly kwa kufuata sheria, ila tunapenda wale laserfare ambapo hakuna lolote la msingi, mama anakuchana live. Ndio maana hata hivi vidume vinashindwa kumuingia kwa sababu kama huna sera za msingi anakutosa. Kazi njema mama Simba, komaa hivyo hivyo, maneno yapo tu hata kwenye kanga yamo. Na pia kumbuka kwamba si wote watakao kutakia mema, wengine wivu tu wanakuonea

Correction...laizre-faire
 
Alifanikiwa sana kwa shughuli za baa. Mimi ni mtoto ambaye nimesomeshwa kwa pesa za pombe. Baba yangu alikuwa na baa inayoitwa Uzaramo Bar, Morogoro lakini pia alikuwa na baa inayoitwa Simba Bar. Kwa hiyo, mimi kufungua vizibo vya bia najua

sasa nimepata jibu la chanzo cha akili zake za mawenge, huyu dada alikunywa pombe mapema alipokua akihudumia walevi katika bar ya babake.
hii imemuathiri ubongo....mmmh huyu anatisha.
 
Si useme tu - kuwa mnapata USD 120,000 kwa mwaka wakati 'mwekezaji' anatengeneza about USD 2m kwa mwaka huo huo? Halafu 'mwekezaji' kakopa NBC, kajenga kupangishia Celtel. Swali: Nyie UWT mlishindwa nini kwenda NBC kukopa kuwajengea Celtel office? Kisha unasema eti - tumejifunza! Miaka 33 inapotea hivi hivi tu, kiongozi anatuambia 'wanajifunza'! Na kama hilo limewashinda (wanajifunza) ni yapi wanayoweza? Kwa mtaji huu umaskini hauwezi kuisha Tanzania.

Hivi Watanzania nani katuroga? hainiingii akilini kwamba hawa ndiyo viongozi wetu, wanaoendesha nchi na kututeulia viongozi wajao. Hivi kama hawana uwezo wa kutosha na mambo ya investment si waajiri au hata watafute consultant kwa ajili ya miradi hii mikubwa? Wangejua investment kama hizi zinalipa kuliko kitu chochote hapa nchini wasingekuwa wanachezea opportunities hizi. Mortgage ziko kila kona interest below two digit percent na credibility ya kupata mikopo wanayo, wangekopa hata kwa mafisadi wenzao wanazo za kujenga jengo kama hilo. Halafu wanakuja kwetu wanataka tuwachangie 50Bil za uchaguzi, sitoi hata cent na anayetoa akili yake kama yao na mtaendelea kutawaliwa hadi Yesu arudi
 
baada ya kunywa nao alitoa glass mezani kisha

Mambo ya baa starehe yake ni "Pombe na nyinyi" Inamaana na Mheshimiwa aliwahi kuwa "nyinyi" Lakini wote si walevi tu? Ndiyo maana siku hizi pombe ndiyo Kilimo kwanza. Dar kilimo kwanza tutalima wapi zaidi ya kulipa kodi za kutosha bar? kwikwikwikwi......Ijumaa imefika (Pombe na nyinyi)
 
Mkuu hata mie hii imenipa tabu kidogo kuingia akilini ina maana ukuu wa wilaya na hiyo post ya ukatibu wa uwt ipi inamjukumu ya kiutendaji zaidi hasa ukizingatia elimu.Au mama sophia nataka kutuabia rais naye kapotoka kumchagua husna kuwa dc maana mama simba anadai yeye alipitiwa kuchangua kuwa msaidizi wake. o h god hii inchi ni wapi tunaelekea jamini?

Kwani la ajabu? After all amemliwaza kwa kusutwa na mijimama. Kwa mheshimiwa hii cheo ni very minor issue provided unaweza kujisogeza.
 
1972 kaolewa na Msouth and then 1975 KK, napata taabu kidogo hapa?
 
Inawezekana kawa muwazi kiasi hicho kwa sababu ya upeo wake mdogo ndio maana hakujua kuwa yeye ni role model na hata kama alikosa maadil some where in her life ni kitu cha kuregret na sio kuwa proud of.

Kila mtu anateleza na kuregret ndio maana wengine hawaexpose private zao ki hivyo kwa usalama wa kizazi kinachomtizama kisijechukua mabaya yake.
 
Elimu yake haiendani kabisa na maelezo/majibu nilitegemea mama muuza vitumbua uswahili ajieleze hivi lakini waziri tena wa wizara nyeti anaongea kama mpiga debe wa kariako .Niajabu na kweli Mama Sophia Simba bado ni waziri sijawahi kuona mtu mwenye dhamana kubwa kama waziri,katibu mkuu,balozi au mkuu wa mkoa akajisifia kuzaa na mume wa mtu au mke wa mtu.Siwezi kumlaumu Mama Simba namna anavyoropoka hakuna ubishi aina ya malezi aliyokulia tangu utoto yamemwathiri kwa kiwango cha kutisha kama siyo kushangaza.

 
Back
Top Bottom