Fahamu haya unapoenda weka mafuta hasa petrol

Kuna aina zaidi ya mbili ya petrol ila common kwa Tanzania ni unleaded pamoja na Super

1.Super
hii ni aina ya petrol ambayo ni nzito na maana haiko purified mpaka mwisho.
Unapoweka haya mafuta ni kuwa mwangalifu especially ukiwa waweka kwenye gari za kisasa zinazotumia nguvu/umeme mkubwa. kuweka super kunaweza sababisha misfire na uliweka haya mafuta utaona gauge inapanda taratibu.

Sababu haya mafuta ni mazito hata consuption pia inaenda pole pole ni sawa umimine uji na maji kwenye caro la majitaka kipi kitawahi kuisha?

2. Unleaded.
Haya mafuta ni ambayo yako purified mpaka mwisho/mafuta mepesi... uchomaji wake ni mzuri na mara nyingi gari inakua na nguvu zaidi ukiwekea unleaded

consuption ni kubwa ila gari inakua na nguvu

Petrol stations zinazoza unleaded ni pamoja na engine,puma,total na nyingine

na ambazo zimejikita kwenye super ni oilcom, camel oil, gbp na nyingine

kwenye prices mara nyingi super inakua chini kidogo ya unleaded chukulia mfano camel oil na gbp ukilinganisha na puma na total

mnaotumia lexus,nissan teana, fuga etc yaninkwa kifupu gari za kisasa zinazotumia umeme mwingi nawashauri mtumie unleaded

nimeproove hili kila nikiweka super kwenye nisasan teana lazima taa ya check engine iwake which is not the case napotumia unleaded
Asante kwa Ushauri
 
nimejifunza kitu hapa ase asante mkuu kwa somu hili
 
MUONGO MKUBWA WE....MAFUTA YOTE YANAYOUZWA TANZANIA YANAFANANA HAKUNA CHA MAZITO WALA MEPESI...Mafuta yanayouzwa Tz yanaingizwa kwa system ya bulk procurement. Wote wanatumia the same....na bei kikomo ni moja inayotangazwa na EWURA kutofautiana bei ni njia ya kutafuta ushindani ktk soko
mm nilitoka kama ushauri wangu kwa uelewa wangu na experience yangu... ungejaribunkuwa mstaarabu kidogo kama post no 3..

mbona kaelezea vizuri tu usikute hata kirikuu huna
 
masahihisho kidogo. petroli yote inayouzwa ni unleaded, kwa maana kwamba haijaongezwa tetraethyllead (TEL), hii additive ilikua inaongezewa kwenye petroli ili ku boost octane ratings za petroli na hivyo kuongeza ufanisi wa injini, lakini baada ya madhara ya lead kuonekana ni makubwa katika uchafuzi wa mazingira nchi nyingi duniani zilipiga marufuku matumizi ya leaded gassoline, nchi pekee ambazo bado leaded gassoline inarihusiwa ni Afghanistan, Argeria, Iraq, North korea, Myanmar na Yemen. sasa ni nini tofauti ya "unleaded" na "super unleaded" petrol?
super unleaded petrol (super) inakuwa na ongezeko la octane ratings (RON), ongezeko hilo la octane rating hua linaongeza engine performance na kupunguza matumizi ya mafuta. ingawa kiuhalisia tufauti hua ni ndogo sana hususani kama wewe ni mtu wa kuchanganya mafuta leo regular unleaded (a.k.a unleaded) kesho super unleaded (a.k.a super), hutaona tofauti yoyote. pia sina uhakika kwa hapa Tanzania kama kuna petrol station wanayouza super unleaded petrol zaidi ya mabango tu yanayosema "super", kwasababu kiuhalisia super ni gharama zaidi kuliko regular unleaded petrol
Asante kwa masahihisho mkuu maana mm nahisi gari zote ambazo nimetumia nimekua na experience mbaya na mafuta kwenye gas stations zilizo na nembo ya super na sio moja
 
No wonder baby walker yangu iliniwakia moto..tena nikiwa traffic lights ..nilitokea petrol station moja hivi inayosemekana inamilikiwa na "jamii ya Asia"..

Nimejifunza kitu..asante sana!
 
mm nilitoka kama ushauri wangu kwa uelewa wangu na experience yangu... ungejaribunkuwa mstaarabu kidogo kama post no 3..

mbona kaelezea vizuri tu usikute hata kirikuu huna

Tabia ya kudanganya umma uache kabisa. Kama hujui jambo kaa kimya. Hiyo experience yako ya lini na wapi. No research no right to speak ebo
 
Kuna aina zaidi ya mbili ya petrol ila common kwa Tanzania ni unleaded pamoja na Super

1.Super
hii ni aina ya petrol ambayo ni nzito na maana haiko purified mpaka mwisho.
Unapoweka haya mafuta ni kuwa mwangalifu especially ukiwa waweka kwenye gari za kisasa zinazotumia nguvu/umeme mkubwa. kuweka super kunaweza sababisha misfire na uliweka haya mafuta utaona gauge inapanda taratibu.

Sababu haya mafuta ni mazito hata consuption pia inaenda pole pole ni sawa umimine uji na maji kwenye caro la majitaka kipi kitawahi kuisha?

2. Unleaded.
Haya mafuta ni ambayo yako purified mpaka mwisho/mafuta mepesi... uchomaji wake ni mzuri na mara nyingi gari inakua na nguvu zaidi ukiwekea unleaded

consuption ni kubwa ila gari inakua na nguvu

Petrol stations zinazoza unleaded ni pamoja na engine,puma,total na nyingine

na ambazo zimejikita kwenye super ni oilcom, camel oil, gbp na nyingine

kwenye prices mara nyingi super inakua chini kidogo ya unleaded chukulia mfano camel oil na gbp ukilinganisha na puma na total

mnaotumia lexus,nissan teana, fuga etc yaninkwa kifupu gari za kisasa zinazotumia umeme mwingi nawashauri mtumie unleaded

nimeproove hili kila nikiweka super kwenye nisasan teana lazima taa ya check engine iwake which is not the case napotumia unleaded
Acha kupotosha watu mkuu..
 
Mtoa mada kuna tatizo jingine kwenye gari yako. Kwa sasa Tanzania yoote mafuta ni unleaded katika petrol stations. Labda kama ulienda kuweka yaliyochakachuliwa. Gari zoote za kuanzia 2005 ni za umeme mwingi kama engines za VVTI ama D4D kwa Toyota cars ambao walichelewa kwenye umeme. Lakini brand zingine ni full umeme toka 2000 hadi sasa.
Baada ya kuanzishwa ile bulk procurement ya mafuta, wanaagiza mafuta ya aina moja tuu kwa petrol na aina moja kwa diesel na aina moja kwa ndege. Ulipoenda kuweka nahisi walikuchakachuwa, sababu hao GDP nasi tunaweka kila siku hapo Sinza , hatujawahi ona tofauti.
Mtoa mada muongo..
Watu wapo Bulk kitambo sana sasa anapokuja sema sijui kuna baadhi unleaded na nyingine super sio kweli.
 
Nagundua kitu hapa.Sasa kama mafuta yote yanaagizwa pamoja kwanini kuna utofauti mkubwa wa bei katika sheli za Dsm? Je inawezekana vipi vituo vilivyopo Nje ya Dsm mfano katika Barabara iendeyo Lindi na Mtwara kuuza bei ya chini kuliko Dsm? Ahsante
Mkuu suala la bei lisikusumbue kichwa.
Wengine wana amua kujilipua tu. Mtu anauza karibu na bure ili kuwa komaa wengine. Au wengine wana mikopo kwahyo wanapambana kurejesha.
 
Kuna aina zaidi ya mbili ya petrol ila common kwa Tanzania ni unleaded pamoja na Super

1.Super
hii ni aina ya petrol ambayo ni nzito na maana haiko purified mpaka mwisho.
Unapoweka haya mafuta ni kuwa mwangalifu especially ukiwa waweka kwenye gari za kisasa zinazotumia nguvu/umeme mkubwa. kuweka super kunaweza sababisha misfire na uliweka haya mafuta utaona gauge inapanda taratibu.

Sababu haya mafuta ni mazito hata consuption pia inaenda pole pole ni sawa umimine uji na maji kwenye caro la majitaka kipi kitawahi kuisha?

2. Unleaded.
Haya mafuta ni ambayo yako purified mpaka mwisho/mafuta mepesi... uchomaji wake ni mzuri na mara nyingi gari inakua na nguvu zaidi ukiwekea unleaded

consuption ni kubwa ila gari inakua na nguvu

Petrol stations zinazoza unleaded ni pamoja na engine,puma,total na nyingine

na ambazo zimejikita kwenye super ni oilcom, camel oil, gbp na nyingine

kwenye prices mara nyingi super inakua chini kidogo ya unleaded chukulia mfano camel oil na gbp ukilinganisha na puma na total

mnaotumia lexus,nissan teana, fuga etc yaninkwa kifupu gari za kisasa zinazotumia umeme mwingi nawashauri mtumie unleaded

nimeproove hili kila nikiweka super kwenye nisasan teana lazima taa ya check engine iwake which is not the case napotumia unleaded
Duhh sasa wenye tu-vitz,ist pia twende huko maana hiyo check engine huniwakia mno...hupendelea GBP na hao uliowataja...msaada please
 
Tabia ya kudanganya umma uache kabisa. Kama hujui jambo kaa kimya. Hiyo experience yako ya lini na wapi. No research no right to speak ebo
Experience yangu ya maisha kama una hisa au unafanya kazi kwenye hizo fuel stations muache kuchakachua mafuta wezi wakubwa
 
Total
Puma
Oryx
GAPCO

Nikikosa mafuta Total nitaenda kwa hao wengine.

Ila Total ndo chaguo namba moja kwangu.
 
Tanzania hakuna mafuta yenye ubora yote ni ya kawaida sijajua kama hata wauzaji wanajua mambo ya PPM 50 au PPM20 etc.
 
masahihisho kidogo. petroli yote inayouzwa ni unleaded, kwa maana kwamba haijaongezwa tetraethyllead (TEL), hii additive ilikua inaongezewa kwenye petroli ili ku boost octane ratings za petroli na hivyo kuongeza ufanisi wa injini, lakini baada ya madhara ya lead kuonekana ni makubwa katika uchafuzi wa mazingira nchi nyingi duniani zilipiga marufuku matumizi ya leaded gassoline, nchi pekee ambazo bado leaded gassoline inarihusiwa ni Afghanistan, Argeria, Iraq, North korea, Myanmar na Yemen. sasa ni nini tofauti ya "unleaded" na "super unleaded" petrol?
super unleaded petrol (super) inakuwa na ongezeko la octane ratings (RON), ongezeko hilo la octane rating hua linaongeza engine performance na kupunguza matumizi ya mafuta. ingawa kiuhalisia tufauti hua ni ndogo sana hususani kama wewe ni mtu wa kuchanganya mafuta leo regular unleaded (a.k.a unleaded) kesho super unleaded (a.k.a super), hutaona tofauti yoyote. pia sina uhakika kwa hapa Tanzania kama kuna petrol station wanayouza super unleaded petrol zaidi ya mabango tu yanayosema "super", kwasababu kiuhalisia super ni gharama zaidi kuliko regular unleaded petrol
Maelezo sahihi. Asante sana. Kwa kuongezea tu, wengi wetu huwa hatuna utamaduni wa kusafisha matenki ya mafuta ya magari yetu. Gari ya mwaka 2000, na unapenda kuweka Lita tano tano, na wakati unawekewa mafuta huzimi injini, mafuta yanaingia kwa msukumo mkubwa kwenye tenki na yanavuruga uchafu, pump inavuta uchafu unaingia kwenye nozzle, zinaleta shida. Hapo kwa haraka haraka mtu atalalamika kauziwa mafuta machafu.

Kuzima gari wakati wa kuweka mafuta ni ustaarabu unaosaidia si kuepusha ajali za moto tu, Bali pia hata kukufanya upate muda wa kufanya uchafu wa tenki usivutwe kwenye injini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom