Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Katika utafiti uliofanyika ndani ya jiji la Dar es salaam....kipindi cha ambacho asilimia kubwa ya kabila la Wachagga wanaopoenda kula sikuku ya Chrismass Moshi....athari zinazopatikana kipindi Wachagga hawapo dar kama zifuatazaooo
1. Kupungua kwa foleni za magari jijini Dar es salaam haswa morogoro road
2. Bar zinapungua wateja
3. Biashara ya Kitimoto hukosa wateja
4. Biashara ya Mbege hukosa wateja
5.MADUKA MENGI AMBAYOO HUKOSA WATEJA KWANI KUSAFILI KWA WACHAGGA HUWAPA FURSA WATU WENGINE BIASHARA ZAOO KWENDA VIZULII
6. Mabasi mengi ya mkoani hupendelea kwenda Moshi
Unaweza kuongeza zako katika hizo
1. Kupungua kwa foleni za magari jijini Dar es salaam haswa morogoro road
2. Bar zinapungua wateja
3. Biashara ya Kitimoto hukosa wateja
4. Biashara ya Mbege hukosa wateja
5.MADUKA MENGI AMBAYOO HUKOSA WATEJA KWANI KUSAFILI KWA WACHAGGA HUWAPA FURSA WATU WENGINE BIASHARA ZAOO KWENDA VIZULII
6. Mabasi mengi ya mkoani hupendelea kwenda Moshi
Unaweza kuongeza zako katika hizo