Facts za wadada wenye ajira nzuri

Facts za wadada wenye ajira nzuri

Pia wanabutuliwa sana kwenye magari na ze so koldi mabosi wao....
Mwenye kisu kikali atakula nyama, kama mnavowaonea na kulala na mahausigeli wenu na mkeo anafanyiwa hivyo hivyo na bosi wake iwapo hatajikinga.
 
Shida ni kuwa wanandoa wanahitaji sana msaada wa mungu wakati wa kuchagua mwenza sio umakini kama watu wanavyodhani. Mara nyingi wadada wamejaliwa uwezo wa kuficha uhalisia wao hata kwa miaka mitano ndipo anakunjua makucha. bahati mbaya wakati huo ni tayari ndoa na hata watoto. so maisha ni masikitiko matupu.
 
Std seven wa kijijini hafanani na std seven wa mjini, Mjini yuko exposed na anakuwa ana matamanio ya kufanikiwa kuliko wa kijijini... Huyu utamuona ana kiburi, kumbe anataka vitu vizuri na yeye hata kama kaishia std 7. [emoji4]
Nonsense, you can't be serious
 
1.Wengi wao ni single mothers
2. Wana confidence sana, waliolewa, hawaheshim ndoa, wanajua hata ukimuacha anaweza kuendeleza maisha
3. Wabishi sana wanajiona wanakaribia hadhi ya mume kwenye famila kwa kuwa nae ana kipato
4. Ukiwaoa sio kwamba kila siku utapata haki yako, Mara atakuwa kachoka, Mara kasafiri kikazi, mara kachelewa kurudi kazini nk
5. Wengi wao wanaolewa wakiwa wakubwa, umri umewapita
6. Wana midomo sana sio wasikivu kabisaa
7. Wanaume wengi wenye such wives wana michepuko, either lazma house maid akusaidie
8. Wavivu sana kupika na kufua, na 100% ya watoto wao wanawapenda ma
wanatoa harufu nzito wakitokwa JASHO.
 
Toyota Lexus Artezza inauzwa bei poa. Ipo katika hali nzuri. Full AC,radio,na rim za kisasa. Rangi nyeusi,imetembea kilometa 165000 tu. Bei ni Million 8 whatsapp 0764 978 509.
1479476483101.jpg
 
1.Wengi wao ni single mothers
2. Wana confidence sana, waliolewa, hawaheshim ndoa, wanajua hata ukimuacha anaweza kuendeleza maisha
3. Wabishi sana wanajiona wanakaribia hadhi ya mume kwenye famila kwa kuwa nae ana kipato
4. Ukiwaoa sio kwamba kila siku utapata haki yako, Mara atakuwa kachoka, Mara kasafiri kikazi, mara kachelewa kurudi kazini nk
5. Wengi wao wanaolewa wakiwa wakubwa, umri umewapita
6. Wana midomo sana sio wasikivu kabisaa
7. Wanaume wengi wenye such wives wana michepuko, either lazma house maid akusaidie
8. Wavivu sana kupika na kufua, na 100% ya watoto wao wanawapenda ma


the Lack of confidence might be ghosting you
 
A weak man can't have a strong woman, he won't know what to do with her
emoji4.png
. Dawa msiwasomeshe mabinti zenu na mkaoe kijiji wale standard seven. Kukaa mnawakandia wanawake wanaofanya kazi na waliopitia shida na majaribu wakafanikiwa katika maisha ni ishara ya udhaifu mkubwa sana.

Ukiona huwawezi just know you are not man enough for them, waachie wanaume waoe hawa wanawake wanaojenga taifa. Mnataka nini hasa, wanaume wa siku hizi..... ??Tuwaelewe vipi? Sasa unataka ukifa au usipokuwepo basi maisha ya familia yasimame..... Wanao walelewe na nani???

tunatakaa chura.....hayo mengine sio inshu!
 
Kila mwanaume na mwanamke wake, wengi hawaongei ila wanakubaliana na hoja zangu. Wawe feminists wasiwe femists wanapendwa na waume zao. Wewe kaa unalalamika humu wakati wenzio wanaoa majembe hawana hofu hata wakifukuzwa kazi.
maisha sio mshahara tu wewe,acha kukariri
 
Inferiority complex makes a lot of men fear women who are equal to or better than they are educationally or financially. Ukijua namna ya kumhandle demu inavyotakiwa atakuheshimu na kukupenda tu. Hata pesa zote alizonazo atakupa. Ukijua namna ya kuishi na mke wako 'kwa akili' kama ambavyo biblia inasema atakutii tu
 
Cku hiz wanaume weng hampend gorikipa,mnapenda kubebwa yaan mteremko ,love with respect
 
1.Wengi wao ni single mothers
2. Wana confidence sana, waliolewa, hawaheshim ndoa, wanajua hata ukimuacha anaweza kuendeleza maisha
3. Wabishi sana wanajiona wanakaribia hadhi ya mume kwenye famila kwa kuwa nae ana kipato
4. Ukiwaoa sio kwamba kila siku utapata haki yako, Mara atakuwa kachoka, Mara kasafiri kikazi, mara kachelewa kurudi kazini nk
5. Wengi wao wanaolewa wakiwa wakubwa, umri umewapita
6. Wana midomo sana sio wasikivu kabisaa
7. Wanaume wengi wenye such wives wana michepuko, either lazma house maid akusaidie
8. Wavivu sana kupika na kufua, na 100% ya watoto wao wanawapenda ma
9. Mara nyingi akili huwa zinawarudi kuwa ni wanawake wa kiafrika wakati umri umeshaenda, wanaishia kulazimisha kutafuta wa kumuoa.
 
Mwenye kisu kikali atakula nyama, kama mnavowaonea na kulala na mahausigeli wenu na mkeo anafanyiwa hivyo hivyo na bosi wake iwapo hatajikinga.
Hahahhahaha hii imenichekesha sanaa,baba na housegirl mama na bosi, hii ngoma drooo ya hatari sana
 
Back
Top Bottom