Facts: Chanzo cha Mgomo wa Madaktari

not at all.
ni mawazo ya kimaskini.
hata bila posho zao, bado wangegoma
sasa wewe toa sababu
kwa nini wagome kipindi hiki na sio mwaka jana??? madaktari wamekumbushwa haki zao na wabunge na sasa wanazidai
 
Heeeeeeee! kumbe lusinde naye ni debe tupu. Ila kweli jamani, huyu maji marefu mi naona hata mwenyewe haamini kama kweli shavu analokula ni kweli au anaota.
nafuu maji marefu kuliko LUSINDE
LUSINDE ni kilaza wa ajabu utadhania ana mtindio wa akili
 
Chonde chonde rafiki zangu wahandisi msigome. Jaribu kufikiria jumuiya ya uhandisi wagome, taifa litapata kiharusi kwa sababu:
- kutakuwa hakuna maji
-kutakuwa hakuna umeme
- kutakuwa hakuna mawasiliano ya simu
- kutakuwa hakuna matangazo ya radio na luninga
- kutakuwa hakuna magazeti n.k
Hayo yakijiri madaktari hata wakisitisha mgomo hawataweza kuhudumia wagonjwa (no water no power), viwanda vyote vitasimamisha uzalishaji kwa hiyo uhaba wa bidhaa kama sukari, bia,soda,vifaa vya ujenzi n.k

Wahandisi kazi zenu mmekasimiwa na Mungu hivyo chapeni kazi kwa kijimshahara chenu kisichokuwa hata na posho malipo yenu mtayakuta mbinguni. Amen
 
Chonde chonde rafiki zangu wahandisi msigome. Jaribu kufikiria jumuiya ya uhandisi wagome, taifa litapata kiharusi kwa sababu:
- kutakuwa hakuna maji
-kutakuwa hakuna umeme
- kutakuwa hakuna mawasiliano ya simu
- kutakuwa hakuna matangazo ya radio na luninga
- kutakuwa hakuna magazeti n.k
Hayo yakijiri madaktari hata wakisitisha mgomo hawataweza kuhudumia wagonjwa (no water no power), viwanda vyote vitasimamisha uzalishaji kwa hiyo uhaba wa bidhaa kama sukari, bia,soda,vifaa vya ujenzi n.k

Wahandisi kazi zenu mmekasimiwa na Mungu hivyo chapeni kazi kwa kijimshahara chenu kisichokuwa hata na posho malipo yenu mtayakuta mbinguni. Amen
huku ni mwendo wamarushwa tuu mtindo mmoja, rushwa na wizi tuuu!
 
Hivi hakuna namna ya kuwang'oa madarakani hawa watu wawili? Nimesoma thread zote zinazohusu mgogoro huu na naamini kuwa kama anayewateua angewaondoa na kuwapa kazi zingine basi asilimia 50% ya mgogoro ingekuwa imetatuliwa. Sitaki ku preempt maono ya kamati ya bunge ya ustawi wa jamii, ila katika solutions zote lazima hawa watu wawili waondoke.
 
Dedicated to doctors:

Somebody asked: "you are a doctor??! That's cool, I wanted to do that when I was a kid. How much do you make?"
Doc replied: "How much do I make? I can hold your hand, seems like the most important thing in the world when you are scared.
I can make your child breathe when they stop. I can help your father survive a heart attack.
... I can make myself get up at 5am to make sure your mother has the medicine she needs to live.
I work all day to save lives of strangers.
I make my family wait for dinner until I know your family member is taken care of.
I make myself skip lunch so that I can make sure everything I did for your wife/husband today is charted.
I make myself work weekends and holidays because people don't just get sick Mondays to Fridays.
Today, I might save your life.

How much do I make? All I know is I make A DIFFERENCE!"
 
Hivi hakuna namna ya kuwang'oa madarakani hawa watu wawili? Nimesoma thread zote zinazohusu mgogoro huu na naamini kuwa kama anayewateua angewaondoa na kuwapa kazi zingine basi asilimia 50% ya mgogoro ingekuwa imetatuliwa. Sitaki ku preempt maono ya kamati ya bunge ya ustawi wa jamii, ila katika solutions zote lazima hawa watu wawili waondoke.

Inasemekana wawili hawa ambao wote ni wazaliwa wa Njombe, walipofika tu waliwatafutia visa maofisa mbalimbali na kuwahamisha toka kwenye vitengo walivyokuwa wanasimamia na kuwapa au ndugu zao au wapambe wao. Angalia mradi wa Malaria, mwambata wa afya ubalozi wa India, mratibu wa miradi ya TACAIDS na hapa mwishoni uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Muhimbili. Angalia hata jinsi alivyovunja kitengo cha manunuzi cha wizara (PMU). Kila mahali wakihisi wanaweza kuvuta mkwanja wanaweka mtu wao. Hata vitengo vya makao makuu ya Wizara waliopo hawana madaraka yoyote wanayofanya, wako kama picha tu kwani maamuzi yote ni Nyoni na Mtesiwa.

Taratibu za manunuzi hazifuatwi kwa vile huyo mpambe wake aliyemuweka anafanya single source tu.
 
Kazi kweli kweli !!!!!!!!!!

Madaktari wanachodai ni mazingira mazuri ya kazi na hii ni faida kwa wagonjwa.

Wanadai kuongezewa mishahara na hii ni faida kwa wagonjwa kwani hatakuwa anafikra nyingi to make ends meet na kufikiria wagojwa wake wakati woooote. Hii pia ni faida kwa wagonjwa.

Madaktari wanadai upatikanaji wa vifaa na madaw na hii pia ni faida kwa wagonjwa kwani ikihitajika X-Ray, Ultra Sound, CT Scan na lab examination ifanyike kwa ajili ya correct diagnosis ili kutoa matibabu yanastahili. Hii pia ni faida kwa wagonjwa.

Ili mradi napenda wananchi mtambuwe kuwa huu mgomo wa Madaktari ukifanikiwa kutimiziwa wanachi taka basi hata wananchi mtanufaika zaidi.

WASAIDIENI MADAKTARI KWENYE MGOMO HUU ILI MUWA WEZESHE WAKUHUDUMIENI VYEMA.
 
Kama yeye angetulia wakati main tern wanagoma mwezi Januari2012 nafikiri hii Hali isingefikia hapa tulipo. Ni vyema viongozi wa Taasisi tunapokutana na changamooto za aina hiyo inabidi tutu lie maana wengi hula hatujui matokeo hake. Kwa kuwasiliana na Blandina nyoni na mipango yao ya kuwarejesha Wizara ya Afya kwao walidhani wameshinda. Marina kumbuka hii Taasisi unayoongoza sio Chana cha madaktari wan awake . Huko utakutana na changamoto nyingi hivyo tulia. Ungetumia busara ya kuyasolve mwenyewe sidhani Kama MAT ingepata nafasi ya kufanya hive na kuwasaidia interns kukaza Hadith Blandina uliyemokimbilia ukidhani kuwa ni dadako kutokana na kudhani kuwa hapo a wali kutoka wilaya moja . HATA WEW UNATAKIWA KUWAJIBIKA KWA KUSABABISHA HIYO CHAOS. Maamouzi yako yatumie hekima.
 
Back
Top Bottom