kagumyamuheto
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 286
- 2
fabrication in full force!
Mbona usiitoe wakati wa vuguvugu?...mwongo sana wewe...mdini...wa kuogopwa kama ukoma!
kaka nimejiunga baada ya uchaguzi. Nilikuwa kwenye forums zingine!
Nikali ninazo sms zingine pengine wakati wake haujafika. Nitazitoa. Penye ukweli tukubali ingawa inauma!!
Baada ya hapo tukae tujadili na tutafute muafaka kwa ajili ya nchi yetu.
Wakristo wengi walipiga "kura ya chuki" dhidi ya kikwete na sio ccm.
Biblia inaagiza "mpende adui yako".
Hivyo waliopiga kura ya chuki sio wakristo halisi bali " mashetani ndani ya ukristo". No matter who!