Face book inasemekana kazi yake kubwa ilikuwa kumpigia mheshimiwa Obama campaign. Iliunganisha watu wengi katika campaign.
Nadhani kwa sababu uchaguzi umekwisha sasa itaonekana haina maana, na itakufa kifo cha kawaida. Naona watu mmeanza kutafuta kila sababu ife.
Hata mmiliki alikuwa anadai inamgharimu sana eti anaitafutia mwekezaji.
Wazungu nao Bwana! Mara tu utasikia kwa sababu ya economic crisis duniani tumeamua kuifunga facebook. Kumbe wamemalizakazi waliyoianzishia.
Face book inasemekana kazi yake kubwa ilikuwa kumpigia mheshimiwa Obama campaign. Iliunganisha watu wengi katika campaign.
Nadhani kwa sababu uchaguzi umekwisha sasa itaonekana haina maana, na itakufa kifo cha kawaida. Naona watu mmeanza kutafuta kila sababu ife.
Hata mmiliki alikuwa anadai inamgharimu sana eti anaitafutia mwekezaji.
Wazungu nao Bwana! Mara tu utasikia kwa sababu ya economic crisis duniani tumeamua kuifunga facebook. Kumbe wamemalizakazi waliyoianzishia.