mossad007
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 1,165
- 852
Mtandao wa Facebook una users karibuni billion moja na million 400 na kati ya hao Users toka Africa ni wengi kiasi cha robo nzima.
Hivi jana yametokea mashambulizi ya kigaidi nchini Ufaransa na katika kuonyesha solidarity Facebook wameweka special icon ya mtu kuweka bendera ya Ufaransa (transparent) plus picha yako ili iwe profile picture.
Utaratibu huu ni mzuri ukizingatia unaonyesha solidarity katika janga lililowakumba ndugu zetu. Lakin April 2 2015 lilitokea shambulizi lilichukua maisha ya watu wengi zaid kuliko hata hili huko Garissa Kenya kana kwamba ni tukio la kawaida hakukuwa na bendera ya Kenya wala special privilledge kwa watu wa Kenya.
Hapa nadiriki kusema Facebook wanaonyesha kulemewa na itikadi za ukanda, ubaguzi, kutokua na usawa ilhali Wakenya ni moja ya mataifa makubwa yenye watumiaji wengi Facebook Africa baada ya South Africa na Nigeria of which ni wachangiaji wakubwa wa pato la Facebook.
Hii ndio picture halisi ya hali ilivyo kati ya mataifa ya Ulaya na Africa ingawa wanajitahidi sana kupaint ionekane wako concerned na kuna concern kubwa lakin Genocide za Rwanda na Burundi, vita za Wenyewe kwa wenyewe na vifo vya wapigania Uhuru kama Lumumba na Nkurhuma ni ushahidi tosha kuwa mikono na fikra zao hazina huruma wala concern dhidi ya waafrika.
Hivi jana yametokea mashambulizi ya kigaidi nchini Ufaransa na katika kuonyesha solidarity Facebook wameweka special icon ya mtu kuweka bendera ya Ufaransa (transparent) plus picha yako ili iwe profile picture.
Utaratibu huu ni mzuri ukizingatia unaonyesha solidarity katika janga lililowakumba ndugu zetu. Lakin April 2 2015 lilitokea shambulizi lilichukua maisha ya watu wengi zaid kuliko hata hili huko Garissa Kenya kana kwamba ni tukio la kawaida hakukuwa na bendera ya Kenya wala special privilledge kwa watu wa Kenya.
Hapa nadiriki kusema Facebook wanaonyesha kulemewa na itikadi za ukanda, ubaguzi, kutokua na usawa ilhali Wakenya ni moja ya mataifa makubwa yenye watumiaji wengi Facebook Africa baada ya South Africa na Nigeria of which ni wachangiaji wakubwa wa pato la Facebook.
Hii ndio picture halisi ya hali ilivyo kati ya mataifa ya Ulaya na Africa ingawa wanajitahidi sana kupaint ionekane wako concerned na kuna concern kubwa lakin Genocide za Rwanda na Burundi, vita za Wenyewe kwa wenyewe na vifo vya wapigania Uhuru kama Lumumba na Nkurhuma ni ushahidi tosha kuwa mikono na fikra zao hazina huruma wala concern dhidi ya waafrika.