Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,077
Ikiwa atatumia neno hilo hilo NIKE hapo atakuwa amevunja sheria na atashitakiwa kwenye mahakama ya kimataifa ya biashara.Nike Ni kisukuma Kwa Kiswahili maana yake 'nishuke'
Je! Msukuma akianzisha kampuni yake akaiita nishuke Kwa kisukuma (NIKE) halafu akaweka alama universal ya tiki Atakuwa amevunja sheria?
Lakini akitumia neno lingine, mafano akatumia neno NISHUKE na kuweka ile alama ya "tick" atakuwa hajavunja sheria.