Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 740
- Thread starter
- #21
Vijana wanajifunzia kutongoza kuleHalafu huko facebook wanakulaanika ndo wamejaa hatari
Vijana wanajifunzia kutongoza kuleHalafu huko facebook wanakulaanika ndo wamejaa hatari
Na wanawake wasojitambua wanaliwa kwelikweliVijana wanajifunzia kutongoza kule
Naomba nikiri hapa kuwa mimi ni domo zege na mwanamke wangu wa kwanza,wa pili,wa tatu na wa nne ni wake za watu ambao niliwapata kupitia facebook.Uzuri wa facebook ni kwamba unamtongoza mtu bila kuonana nae uso kwa uso kwa hiyo hakuna mambo ya kuona aibu na mnakubaliana kabisa hadi lodge ya kwenda kula tunda.
Na mkifika lodge huwa hakuna mambo mengi,ni kuvuana tu kwa sababu tayari mlishalegezana kwenye mtandao huko.This is my confession
Ulikuwa unaangalia chura huko Fb?
Mkuu habari.Kwa ufupi
Mke wangu si msomi wala si mtu wa mjini. Lakini akaja kupata shauku ya kutumia facebook.
Nilimkataza lakini aling'ang'ania kuwa hakuna ubaya wowote. Sikumruhusu ila siku hiyo nikamkuta tayari amesha download na anatumia.
Miezi kadhaa baadaye, nikapitia kwenye baadhi ya picha ambazo alipost na baadhi ya vijana kuanza kumtongoza.
Kilicho nishtua ni kwamba alimwambia kijana mmoja ambaye aliomba namba kuwa aje inbox. Ile kidogo ikanishtua.
Sasa naomba msaada mmoja.
Nahitaji kuidukua akaunt yake ya facebook ili nione kinachoendelea. Msaada tafadhali kwa anayejua.
NB
Moyo ninao, na niko tayari kwa lolote. Na ukizingatia kuwa sikumpa ruhusa wala sijaridhia yeye kutumia facebook.
Aisee namtafutia sababu nikinukishe ipasavyo.
MSAADA WA NAMNA YA UDUKUAJI TAFADHALI
MackZuckerberg
Lengo lako ni lipi hasa?Anatumia jina gani huko Facebook?
Umeona alama ya swali au umejibu tu?Shem jeuri wapi nimeproud?Nimetoa tu experience yangu kuhusu facebook na hayo mambo nilishaacha siku hizi baada ya kukua.Ujana ulishanipita kando
Hii mbona easy kama Pop Corn.
NB: Demu wangu wa kwanza nilimpata huko na akaja kunifanya kitu hamna. Ilikuwa fundisho kwangu na kwa kizazi changu. Na account niliifuta
Mwanamke akishindwa kumtii Mume wake, ni halali kumwacha Haraka, kwani hakuna future hapo ni ugomvi kila siku, na usiwekeze moyo wako na mali zako kwa mwanamke, hakikisha unaweza kuishi bila yeye na hata akiondoka usipate uchungu wa mali ulizowekeza kwake.Kwa ufupi
Mke wangu si msomi wala si mtu wa mjini. Lakini akaja kupata shauku ya kutumia facebook.
Nilimkataza lakini aling'ang'ania kuwa hakuna ubaya wowote. Sikumruhusu ila siku hiyo nikamkuta tayari amesha download na anatumia.
Miezi kadhaa baadaye, nikapitia kwenye baadhi ya picha ambazo alipost na baadhi ya vijana kuanza kumtongoza.
Kilicho nishtua ni kwamba alimwambia kijana mmoja ambaye aliomba namba kuwa aje inbox. Ile kidogo ikanishtua.
Sasa naomba msaada mmoja.
Nahitaji kuidukua akaunt yake ya facebook ili nione kinachoendelea. Msaada tafadhali kwa anayejua.
NB
Moyo ninao, na niko tayari kwa lolote. Na ukizingatia kuwa sikumpa ruhusa wala sijaridhia yeye kutumia facebook.
Aisee namtafutia sababu nikinukishe ipasavyo.
MSAADA WA NAMNA YA UDUKUAJI TAFADHALI
Nataka nihakikishe kama kweli huyo mwanamke alimwambia mtu aende inbox akampe namba mana hapa tumesikiliza upande mmoja tuLengo lako ni lipi hasa?
Watu wengi ambao sio wasomi hutumia namba za simu sio email kufungua akaunti ya Facebook. Kwahiyo ni rahisi Sana kumsearchMkuu habari.
Nimesoma uzi wako hadi nikakuonea huruma.
Ipo hivi, kwanza unatakiwa kupata password yake ya fb.
Baada ya hapo unaingia kwenye account yake kupitia simu yako, na ukishaingia mara moja tu basi mchezo utakua umekwisha, maana utakua huna haja tena ya kushika simu yake. Na hapo muda wowote unaingia kwenye account yake kupitia simu yako.
Kikubwa fanya kila namna upate password yake.
Tupe ushuhuda mkuu tujifunze pia,Hii mbona easy kama Pop Corn.
NB: Demu wangu wa kwanza nilimpata huko na akaja kunifanya kitu hamna. Ilikuwa fundisho kwangu na kwa kizazi changu. Na account niliifuta 😂😂😂
Mkuu tuseme ukiweza kuifunga Facebook page yake, huku mtaani nako utakuwa naye muda wote?Kwa ufupi
Mke wangu si msomi wala si mtu wa mjini. Lakini akaja kupata shauku ya kutumia facebook.
Nilimkataza lakini aling'ang'ania kuwa hakuna ubaya wowote. Sikumruhusu ila siku hiyo nikamkuta tayari amesha download na anatumia.
Miezi kadhaa baadaye, nikapitia kwenye baadhi ya picha ambazo alipost na baadhi ya vijana kuanza kumtongoza.
Kilicho nishtua ni kwamba alimwambia kijana mmoja ambaye aliomba namba kuwa aje inbox. Ile kidogo ikanishtua.
Sasa naomba msaada mmoja.
Nahitaji kuidukua akaunt yake ya facebook ili nione kinachoendelea. Msaada tafadhali kwa anayejua.
NB
Moyo ninao, na niko tayari kwa lolote. Na ukizingatia kuwa sikumpa ruhusa wala sijaridhia yeye kutumia facebook.
Aisee namtafutia sababu nikinukishe ipasavyo.
MSAADA WA NAMNA YA UDUKUAJI TAFADHALI