Ze last Born
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 1,770
- 3,875
Wanawake ni wajanja kuliko unavyodhani...kwanza wengi wana account zaidi ya moja za Facebook na zenye username tofauti tofauti utaweza kuzidukua zote??
Huyo mkeo Kama hulka yake ni ya kuliwa ataliwa tu....asipoliwa Facebook, ataliwa Instagram, asipoliwa Instagram ataliwa kwenye WhatsApp groups, telegram, kwenye kwaya, kanisani, msikitini au hata hapo mtaani kwenu kwa wauza urembo na wapaka rangi kuchu
Huyo mkeo Kama hulka yake ni ya kuliwa ataliwa tu....asipoliwa Facebook, ataliwa Instagram, asipoliwa Instagram ataliwa kwenye WhatsApp groups, telegram, kwenye kwaya, kanisani, msikitini au hata hapo mtaani kwenu kwa wauza urembo na wapaka rangi kuchu