Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 740
Kwa ufupi
Mke wangu si msomi wala si mtu wa mjini. Lakini akaja kupata shauku ya kutumia facebook.
Nilimkataza lakini aling'ang'ania kuwa hakuna ubaya wowote. Sikumruhusu ila siku hiyo nikamkuta tayari amesha download na anatumia.
Miezi kadhaa baadaye, nikapitia kwenye baadhi ya picha ambazo alipost na baadhi ya vijana kuanza kumtongoza.
Kilicho nishtua ni kwamba alimwambia kijana mmoja ambaye aliomba namba kuwa aje inbox. Ile kidogo ikanishtua.
Sasa naomba msaada mmoja.
Nahitaji kuidukua akaunt yake ya facebook ili nione kinachoendelea. Msaada tafadhali kwa anayejua.
NB
Moyo ninao, na niko tayari kwa lolote. Na ukizingatia kuwa sikumpa ruhusa wala sijaridhia yeye kutumia facebook.
Aisee namtafutia sababu nikinukishe ipasavyo.
MSAADA WA NAMNA YA UDUKUAJI TAFADHALI
Mke wangu si msomi wala si mtu wa mjini. Lakini akaja kupata shauku ya kutumia facebook.
Nilimkataza lakini aling'ang'ania kuwa hakuna ubaya wowote. Sikumruhusu ila siku hiyo nikamkuta tayari amesha download na anatumia.
Miezi kadhaa baadaye, nikapitia kwenye baadhi ya picha ambazo alipost na baadhi ya vijana kuanza kumtongoza.
Kilicho nishtua ni kwamba alimwambia kijana mmoja ambaye aliomba namba kuwa aje inbox. Ile kidogo ikanishtua.
Sasa naomba msaada mmoja.
Nahitaji kuidukua akaunt yake ya facebook ili nione kinachoendelea. Msaada tafadhali kwa anayejua.
NB
Moyo ninao, na niko tayari kwa lolote. Na ukizingatia kuwa sikumpa ruhusa wala sijaridhia yeye kutumia facebook.
Aisee namtafutia sababu nikinukishe ipasavyo.
MSAADA WA NAMNA YA UDUKUAJI TAFADHALI