Vincenzo Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2020
- 12,177
- 25,488
Namkanda yuleKMC anafanya kitu apate points 3 😂
Namkanda yuleKMC anafanya kitu apate points 3 😂
Majini ya subiani ni magumu sana kuyatoaIla hawachekagi na majini 😂
Kwa msaada wa MAJINI...Awa ni JKT Tanzania, Huu uwanja ni mkubwa Sana na Simba walikata upepo mapema.
Uu ni uwanja mkubwa Sana unataka timu zenye mapafu kama Yanga.
Kama Yanga atachezea uwanja uu mtu anaweza kupigwa zaidi ya goli Tano.
We jini maimuna angalia msimamo uje uongee hapa..naona mlikua baharini mnawatupia majini jkt ili wapate sare..
Mbele ya hao miamba hakuna cha subían wala makataMajini ya subiani ni magumu sana kuyatoa
KMC wamesema ni ujinga kufungwa na Yanga kisha wabaki chini, zama za ujinga wameziacha so point 3 ni zao hapo kesho kutwa.Namkanda yule
We Shumileta mbona unaumia hivoMakolo Mnajikongoja Tu Kazi Mnayo.
Mechi mda gani tuangalieKesho utakuwa ndio muda wa kujua nafasi halisi anayomiliki Yanga kwenye kundi Club Bingwa
Saa 4 usiku
Kesho Al ahly anashindaKesho utakuwa ndio muda wa kujua nafasi halisi anayomiliki Yanga kwenye kundi Club Bingwa
Una uhakika 😂Mbele ya hao miamba hakuna cha subían wala makata
🤣😂😁😁Kaka msimu huu nakurushia majini tu kombe hubebiMuda ni Mwl mzuri sana
NdioUna uhakika 😂
Kaka majini 😂 sio wakushindana naoNdio
Pesa ninazo tumia kununua data mnaweza kula familia yenu nzimaKaa nalo tu hilo jini au liweke kabatini likutoe kwenye umaskini