Exclusive: Ukweli kuhusu Linda Beizudenhout na status yake

Status
Not open for further replies.
wenye wivu kajinyongeni tuuuu

tazama guu hilo PASCO


10919767_1543448975912926_389984598_n.jpg
 
Heheheheheh

Kila.mtu ana uhuru wa maoni

Haki ya kumkaribisha atakae

Tena namkaribisha haswa aanze kushusha mavideo akilamba passport


Unaweza iita ass.kissing, ass.licking au hata madole kabisa....... ila sifanyi upendavyo

Woiiiiii....shkamoo
 
Mimi Linda angekuwa mke wangu kazi yangu mie moja tuu...Kila baada ya miezi 9 namzalisha hakuna la zaidi na nazidi kumpenda

maana kwanza amekaaa kupendwa pendwa vileeee.

japo ni mke wa mtu lakini nita tubu tuuuu.. Usiku ukifika napiga YATHAWAAAAB THUBALAIYNAAAAAAA WAGHFIRLANAAAA YATHAWAAAAAB


10881740_1394459494181941_1439621818_n.jpg
 
sure beef liishe kiroho safi jamani

mi naonw hayana maana mabeef

Hakuna kitu kilikuwa kinaniuma kama wale watoto both Leyla and Bhoke.
Halafu na kile kimalaika cha Nargis.
Kuna tusi alitukanwa mmoja wao liliniuma alafu nikimuangalia mtu mwenyewe anayetukanwa hata hahusiki kabisa.

Btw, kwani kuachana na mabeef na maugomvi yasokuwa na tija sh ngapi? Hata haicost kitu yaani!
 
  • Thanks
Reactions: naa
jua ulianza ulimiii ndo meno yakajaaaaa
namuamini mwenyezi ndio mtoa hajaaaaaa
kuharibu hamuwezi alopangiwa mjaaaaa

heshima yangu imewatia kiburi mnanipaka matopeeeee
aahhh na utu wangu umewatia jeuri mnaona mnilipee
aah bas wenzanguuuiiiiiuuu
huo sio ujabaliii iiiiii
kwake mtasubiri sana ni bure yenu majunguuuu
aogopa ya subhanAA sikhofu ya mlimwengu

FATMA MCHARUKO HUYOOOOO
hayo ni marumpe rumpeeeeee


Hii sio modern TAARAB, ni zile taarabu za zamani, kwa sie watu wa pwan tunaziita TWAARABU, Ni bibie Zuhura Shaaban akikwambia HUNA TENDA, HUNA BUZI HADI UMEKUJA ......................! Sie miee huyooooo Bi Zuhura. Hadi nimei upload haipo hata You tube ila ninayo ndo ujue kuchamba sijaanza miaka ya 2000 ni ya 1997. Ulikuwa unanyonya mnaweza dai Lar 1 katungaaa.

UMEYACHOKOZAAAAAAAAAAAA! NJOOOOO! NJOOOOOOOOOOO! UKAPANDA CHATI, NJOOOOOOOOOO! NJOOOOOOOO! UMEYACHOKOZAAAA SASA WACHEZESHWA FAUL*2

Wapiga magoti ukiona noti, waazima tight uoneshe joint,
Umetaharukiiiiiiiiii, hataki kushukaaaaaaaaaaaaa!
Umebeba begiiii, umekuwa lodi, watafuta tenda, watafuta buziiiiiiiii!

Nafanya hisabuuuu sipati jawabu, mchezo gani huoooo, wa kurudi nyumaaa huo, wa kuacha wako huo na kumfata mwenzio huoooo, wakuruka patupu huo, wa kuruka ukuta huoooooooo*2

Wataka upateeeeeeeeee, looooooooooooooh looooooooh vya mjini na vya kujaaaaaaaaa* Unataka upateeeeeeeeee vya dar na ungujaaaaaaa. Wewe kiokote hujali na kinga, wachanganya woteeeeeee bosi na mesenja, kwako vyote vyoteeee, vyafaa kuchunwaaaaa,*2

umebeba begi, umekuwa lodi watafuta tenda, watafuta buziiiii*2
Nafanya hisabuuuu sipati jawabu, mchezo gani huoooo, wa kurudi nyumaaa huo, wa kuacha wako huo na kumfata mwenzio huoooo, wakuruka patupu huo, wa kuruka ukuta huoooooooo*2

HUNGOJIIIIIIIIIIII KUITWAAAAAAAAA LOOOOOOOOOOH! LOOOOOOOOOH! WAJILETAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!

FANYA KUUSIKILIZA NI MTAMU SANAAAAAAAAAAAAAAA! Sie mie huyo akhaaaaaaaaaaa! Zuhura Shabani akikwambi HUNA BUZI, HUNA TENDAAAAAAAA!
 

Attachments

  • 86f7e33e3ae23d20.mp3
    19.6 MB · Views: 74
aaaahaaaaa kazi zote izo bd mlikua mnakaa vyumba va uwani makumbusho aaaaahaaaaa waongopee wasokujua byeeeeee

Unakimbilia wapi? Bring back ur ass<

Wewe lini walikuomba sehemu ya kulala? Au ndio ushujaa wa nyuma ya keyboard?

Wengine nyinyi nje ya JF hufikii hata standard za mbwa wangu wala hupati matibabu kama ya mbwa wangu, huu ni ujasili wa fake id tu.
 
-
Natanguliza samahani kwani najua nitakukwaza.Hivi wamchukiaje usiyemjua kias hicho??ata kama unamjua kwann ubebe chuki kubwa namna hiyo?au ndo kununua ugomvi?Maneno ya kinywa chako yamejaa kiburi na kujikweza utadhan una mkataba na Mungu.Ukiwa mwenye mafanikio tambua kuwa ni Mungu amekuwezesha na kukubariki usidharau wengine na ambao sawa na baba zako.
sijamdharau yoyote waulize hao waloniambia nimjengee mzee wangu so ulitaka nimjibu nini kwa mfano so ulitanga niongope nikufurahishe wewe au!!!!?????sina ninaemchukia nilichosema ni ukweli kama kusema ukweli ni chuki haya
 
Mimi Linda angekuwa mke wangu kazi yangu mie moja tuu...Kila baada ya miezi 9 namzalisha hakuna la zaidi na nazidi kumpenda

maana kwanza amekaaa kupendwa pendwa vileeee.

japo ni mke wa mtu lakini nita tubu tuuuu.. Usiku ukifika napiga YATHAWAAAAB THUBALAIYNAAAAAAA WAGHFIRLANAAAA YATHAWAAAAAB


10881740_1394459494181941_1439621818_n.jpg


HA HA HAAAAA ha ha haaa (;---------- wow! this really cracked me ( thank you though ) and i am leaving kwanza sielewi vizuri jinsi ya kutumia JF mimi mgeni nashindwa ku reply kwa ku-quote yani its just driving me crazy but i had so much fun reading the comments. Brother Matola thank you for sharing the evidence YES TANZANIA I AM ALL YOURSSSSSSS 100%. hata ningejiripuwa SO WHAT????? watanzania wengi wa UK wamefanya hivo ni kati ya kutafuta maisha Isinge cancel UZARAMO WANGU . But SIKUWA REFUGEE NA STATUS YANGU NCHI HII NI RAIA WA TANZANIA. Those who wont believe they can go kick rocks :) mwwaaah!!!! love yah!. I love JF i will keep my membership
 
Really haikuwa nyumba kubwa iliozungukwa na mafridge ha ha haa your so damn bitter. I aint got time for this let me just help you feel better tulilala nje hatukuwa na pa kuishi :)

Thank you, umemaliza kazi.
Heaven on Earth halafu useme sikukuita come this why ujifunze namna kupre-empty chakubimbi.
 
Last edited by a moderator:
Kuna vitu vingine ni irrelevant kabisa wala mtu hawezi kunidrive kuanza kuvielezea.As long as I know who is LB and what she does na kwamba sio mkimbizi (hapa I passed through different docs and writings ambazo zinamuongelea and am satisfied)Hayo mengine ya visa sijui passport sina muda wa kuyaongelea hata LB mwenyewe asijisumbue kuridhisha watu kila siku kuongelea jambo lile lile tu. Yaani mtu anataka umuelezee mpaka process zote sasa why ilienda hivi ikawa vile ndo maana hii ikatolewa jan ile ikatolewa march.......hayo majina yakafanya fanya nini ndo maana yametofautiana......khaaa serious kabisa??? Hilo la majina si walimgomea na kipindi kile akawaeleza? And usisahau Matola.....binadamu tulivyo....mtu anaweza akahisi joto akakwambia niwashie feni ukawasha lakini akasema inamletea kikohozi na mafua hivyo umuwashie AC, ukawasha tena na bado akakwambia inamuumiza kifua umpepee!! LolAnyways......LB should not waste her time in explanations, people will only hear what they want to hear! Kikubwa tu aachene na ugomvi kama kuna watu watataka kumfuatilia saaaana its up to wao!!!
YOU COULDN'T SAY IT ANY BETTER thank you
 
Last edited by a moderator:
Really haikuwa nyumba kubwa iliozungukwa na mafridge ha ha haa your so damn bitter. I aint got time for this let me just help you feel better tulilala nje hatukuwa na pa kuishi :)

Fanya kazi mamaa yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Hata kama mlilala makoridoni hayo yalikuwa ni maisha yenu sasa hivi tunaangalia who is LB!

But kuna habari ambazo hazifurahishi kuhusu maisha ya baba yako ambaye anadaiwa kuishi maisha magumu ilhali we mwanae unaishi vizuri na haumjali. Sikupangii maisha yako na vilevile sikutuhumu.....ila kama ni kweli nakusihi na nnakushauri pia.....ifike pointi usijiangalia wewe tu umkumbuke na baba yako si vizuri kumuacha mzee aishi kwenye mazingira magumu.

Otherwise.....kwakuwa wewe pia ni mtu mzima na ulisema wampenda baba yako....then do the needful....ufanye upendo wako uonekane kwa vitendo.
 
Huyu kwenye picha nani?

Nimeona vidole vimezungukiwa maduara.
 

Attachments

  • 1422915384239.jpg
    1422915384239.jpg
    97.9 KB · Views: 263
Unakimbilia wapi? Bring back ur ass<

Wewe lini walikuomba sehemu ya kulala? Au ndio ushujaa wa nyuma ya keyboard?

Wengine nyinyi nje ya JF hufikii hata standard za mbwa wangu wala hupati matibabu kama ya mbwa wangu, huu ni ujasili wa fake id tu.
aaahaaaa u gay bd unanifatafata why????!!!!!aaaahaaaaaaa daah nauwezo wa kukulisha wewe hata miaka kumi bila shida yoyote so acha kunifatafata na uhakika asilimia 200 hunipati hata robo.....njoo block D mererani mybe unaweza kua mwanaapolo wangu byeeeee
 
aaahaaaa u gay bd unanifatafata why????!!!!!aaaahaaaaaaa daah nauwezo wa kukulisha wewe hata miaka kumi bila shida yoyote so acha kunifatafata na uhakika asilimia 200 hunipati hata robo.....njoo block D mererani mybe unaweza kua mwanaapolo wangu byeeeee

Yes am a gay, wewe unapanuwa mimi nakuchomeka we both gays but mimi ndio ninayekusodomise.
 
Hahahaaaaaaaaa! TAJAAAAAAAAAAAAAAAAA! Kwani kitu gani banaaaaaaaaaaaa! MIMI NIMEALIKWA RASMI NA BABY, ngoma inakesha hiii. Nimechoka kuvua vidagaaaa, nataka niliwahi PAPA mie:poa

Fanya kazi mamaa yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Hata kama mlilala makoridoni hayo yalikuwa ni maisha yenu sasa hivi tunaangalia who is LB!

But kuna habari ambazo hazifurahishi kuhusu maisha ya baba yako ambaye anadaiwa kuishi maisha magumu ilhali we mwanae unaishi vizuri na haumjali. Sikupangii maisha yako na vilevile sikutuhumu.....ila kama ni kweli nakusihi na nnakushauri pia.....ifike pointi usijiangalia wewe tu umkumbuke na baba yako si vizuri kumuacha mzee aishi kwenye mazingira magumu.

Otherwise.....kwakuwa wewe pia ni mtu mzima na ulisema wampenda baba yako....then do the needful....ufanye upendo wako uonekane kwa vitendo.

USIWASIKILIZE WANAOROPOKA KWA KUTAFUTA NAMNA ZOTE ILI WANITEKETEZE KITU AMBACHO NI IMPOSSIBLE LAITI WANGEJUWA WHO I AM HERE IN ATL NAISI WANGEJIUWA. WANAFANYA ALAMBEE ZAO KWENYE KI ABUSIVE BLOG. SIFA YA HIYO BLOG TO NI MBAYA TELL ME HOW WILL THAT DESTROY ME. INGEKUWA WANA FABRICATE KWENYE TV NA RADIO ZA ATLANTA THEN NINGESHTUKA :) :).

BABA YETU ANAISHI UGANDA NA AUNTY ZANGU. KWANI NDUGU ZANGU WOTE WA UPANDE WA BABA NI WAGANDA . BABA YANGU KATOKEA UGANDA BAADAE ALICHUKUWA URAIA WA TANZANIA SABABU YA MAMA.

NA HIVI SASA BAADA YA SIE WOTE KUKUWA NA VILE MAMA AMEFARIKI KAAMUWA KURUDI UGANDA .
MIMI LINDA NIKO USA
RICHARD YUKO CANADA
LOUIS YUKO ZANZIBAR ANAANZA MAISHA MAPYA NA FIANCEE WAKE.

SO DAD KAENDA KUTEMBEA UGANDA UWA ANAENDA ANAKAAA AKICHOKA ANARUDI TANZANIA, TUNAMTUNZA SAAANA RICHARD SENDS HIM MONEY AND I DO THE SAME EVERY MONTH. HE IS VERY HAPPY IN UGANDA NI MANENO YA WATU MY DEAR. NA NDO MANA SIKUPOTEZA WAKATI KUYAJIBU.

Yule alietangaza nataka nimuhulize Swali anapenda kumsema hubby wangu na matatizo ya moyo abayo yako solved ilikuwa ni mother nature ni kitu ambacho kinatokea hata the best ATHLETES in the world watu wenye afya njema wana pata.

SWALI: Je anaweza fananisha na case ya baba yake alie amuwa TO STOP HIS HEART FROM BEATING????? yani unaweza linganisha situation ya mume wangu ya mother nature na baba yake alie shindwa maisha na stress mpaka akastopisha moyo wake mwenyewe???? ha ha haaaa NOW THATS MESSED UP!!!!!!!. (good bye LOTS OF LOVE MMMwaahhh)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom