Exclusive: Ukweli kuhusu Linda Beizudenhout na status yake

Status
Not open for further replies.
Langu jicho ya Jokha Khasimu ikuburudishe, na TOP IN TOWN ya Khadija Kopa ikutafutie usingizi.:A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1:

bila kusahau"penye neema"kutoka kwa mariam
au"nipe stara"kutoka kwa rahma machupa
nipe staraaa kwa wanaonichukiaaa
dunia hadaaa ulimwengu shujaa wake
naomba shufaa kwa dunia nistirike mbele yako hakuna shujaa tunajidai makeke
eehhj
 
Ni sheeeedah.... mie ntataja tu ,sio mimi bali ni chaguo la moyo tu, wala sio warumi, sooon ntafunguka, kama uchaguzi wa moyo utaniponza bhasi sawaaaa

Hahahaaaaaaaaaaa! Kama Bongo Muvi! Usitaje mwaya, picha litawahi kuisha. Acha tuendelee ku guess.
 
Pwa! Pwa! Pwa! Pwa! Pwa! Pwa! Pwa!

One down.

Dinazarde nifah Avemaria njooni muokote casualties huku.

Waswahili siku zote usitumie nguvu kuwasambaratisha ni kucheza na fact tu.

Kuna vitu vingine ni irrelevant kabisa wala mtu hawezi kunidrive kuanza kuvielezea.
As long as I know who is LB and what she does na kwamba sio mkimbizi (hapa I passed through different docs and writings ambazo zinamuongelea and am satisfied)

Hayo mengine ya visa sijui passport sina muda wa kuyaongelea hata LB mwenyewe asijisumbue kuridhisha watu kila siku kuongelea jambo lile lile tu. Yaani mtu anataka umuelezee mpaka process zote sasa why ilienda hivi ikawa vile ndo maana hii ikatolewa jan ile ikatolewa march.......hayo majina yakafanya fanya nini ndo maana yametofautiana......khaaa serious kabisa???

Hilo la majina si walimgomea na kipindi kile akawaeleza?


And usisahau Matola.....binadamu tulivyo....mtu anaweza akahisi joto akakwambia niwashie feni ukawasha lakini akasema inamletea kikohozi na mafua hivyo umuwashie AC, ukawasha tena na bado akakwambia inamuumiza kifua umpepee!! Lol

Anyways......LB should not waste her time in explanations, people will only hear what they want to hear! Kikubwa tu aachene na ugomvi kama kuna watu watataka kumfuatilia saaaana its up to wao!!!
 
Last edited by a moderator:
bila kusahau"penye neema"kutoka kwa mariam
au"nipe stara"kutoka kwa rahma machupa

Embe likishadondoka halirudi tena mtini
Maneno nikishayatamka hayarudishiki mdomoniiii,
Ikishafika uchani nyama hairudi kuwa ngombe,
Zege ukishalikoroga harudi tena cement,
kwani yeye awaeze ana niiii na LA ashindwe ana niii,
chezaaaa kidogooooooo, cheza kidogoooo pinda mugongoooooo pinda mugongooooooo


HALIFICHIKIIIIIIIIIIII, EEEEEEEEEEEEEEH HALIFICHIIIIIIIIII PEMBE LA NGOMBEEEEEEEE!
Hazifichikiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, eeeeeeeeeeeeeeh hazifichi wewe umeliona, PEMBE LA NGOMBEEEEEEEEEE!

Sie mie huyoooooo! Akhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! HAMMA Q huyo akikwambia PEMBE LA NGOMBEEEEEEEEE!:poa
 
Embe likishadondoka halirudi tena mtini
Maneno nikishayatamka hayarudishiki mdomoniiii,
Ikishafika uchani nyama hairudi kuwa ngombe,
Zege ukishalikoroga harudi tena cement,
kwani yeye awaeze ana niiii na LA ashindwe ana niii,
chezaaaa kidogooooooo, cheza kidogoooo pinda mugongoooooo pinda mugongooooooo


HALIFICHIKIIIIIIIIIIII, EEEEEEEEEEEEEEH HALIFICHIIIIIIIIII PEMBE LA NGOMBEEEEEEEE!
Hazifichikiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, eeeeeeeeeeeeeeh hazifichi wewe umeliona, PEMBE LA NGOMBEEEEEEEEEE!

Sie mie huyoooooo! Akhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! HAMMA Q huyo akikwambia PEMBE LA NGOMBEEEEEEEEE!:poa

jua ulianza ulimiii ndo meno yakajaaaaa
namuamini mwenyezi ndio mtoa hajaaaaaa
kuharibu hamuwezi alopangiwa mjaaaaa

heshima yangu imewatia kiburi mnanipaka matopeeeee
aahhh na utu wangu umewatia jeuri mnaona mnilipee
aah bas wenzanguuuiiiiiuuu
huo sio ujabaliii iiiiii
kwake mtasubiri sana ni bure yenu majunguuuu
aogopa ya subhanAA sikhofu ya mlimwengu

FATMA MCHARUKO HUYOOOOO
hayo ni marumpe rumpeeeeee
 
wauzaji mafundi eeeeheeeee mbona cheo kikwabwa sana umetoa!!!????? eeeeheeeeee usisahau na sembe ndukiiiiiiiiiiii
YOU GUYS DO YOU KNOW HOW MUCH IS A FRIDGE????. Do you know that baba yangu alitengeneza mpaka cold rooms za Jeshini na Ikulu, Do you know alikuwa official Engineer wa JESHI LA UGANDA?????. alitengeneza mpaka Mortuary za jeshi la Uganda do you know how much that was?????. Do you know how much JKT walimlipa?????. your so weak and pathetic you have know idea how much he gets paid and how many young Tanzanian men were tough by him. He is the first refrigerator of Tanzania he does more than that Cold Rooms Airplanes Hotels ETC....... BUT SAY WHAT MAKES YOU HAPPY
 
img_1127.jpg
 
YOU GUYS DO YOU KNOW HOW MUCH IS A FRIDGE????. Do you know that baba yangu alitengeneza mpaka cold rooms za Jeshini na Ikulu, Do you know alikuwa official Engineer wa JESHI LA UGANDA?????. alitengeneza mpaka Mortuary za jeshi la Uganda do you know how much that was?????. Do you know how much JKT walimlipa?????. your so weak and pathetic you have know idea how much he gets paid and how many young Tanzanian men were tough by him. He is the first refrigerator of Tanzania he does more than that Cold Rooms Airplanes Hotels ETC....... BUT SAY WHAT MAKES YOU HAPPY
aaaahaaaaa kazi zote izo bd mlikua mnakaa vyumba va uwani makumbusho aaaaahaaaaa waongopee wasokujua byeeeeee
 
  • Thanks
Reactions: naa
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom