Exclusive: Ukweli kuhusu Linda Beizudenhout na status yake

Status
Not open for further replies.
HA HA HAAAAA ha ha haaa (;---------- wow! this really cracked me ( thank you though ) and i am leaving kwanza sielewi vizuri jinsi ya kutumia JF mimi mgeni nashindwa ku reply kwa ku-quote yani its just driving me crazy but i had so much fun reading the comments. Brother Matola thank you for sharing the evidence YES TANZANIA I AM ALL YOURSSSSSSS 100%. hata ningejiripuwa SO WHAT????? watanzania wengi wa UK wamefanya hivo ni kati ya kutafuta maisha Isinge cancel UZARAMO WANGU . But SIKUWA REFUGEE NA STATUS YANGU NCHI HII NI RAIA WA TANZANIA. Those who wont believe they can go kick rocks :) mwwaaah!!!! love yah!. I love JF i will keep my membership

Mtoto mzuri sana wewe
 
Yes am a gay, wewe unapanuwa mimi nakuchomeka we both gays but mimi ndio ninayekusodomise.
aaaahaaaaaaa so fun wallah ...byeee nalala now ukiwana mda njoo mererani block D eeeeheeeee nikupe hata crt 20 ukauze upate pesa ya kujikimu kidogo bureeee nakupa...na uache kunifatafata eeeeheeee nina allergy na magay
 
USIWASIKILIZE WANAOROPOKA KWA KUTAFUTA NAMNA ZOTE ILI WANITEKETEZE. BABA YETU ANAISHI UGANDA NA AUNTY ZANGU. KWANI NDUGU ZANGU WOTE WA UPANDE WA BABA NI WAGANDA . BABA YANGU KATOKEA UGANDA BAADAE ALICHUKUWA URAIA WA TANZANIA SABABU YA MAMA.

NA HIVI SASA BAADA YA SIE WOTE KUKUWA NA VILE MAMA AMEFARIKI KAAMUWA KURUDI UGANDA .
MIMI LINDA NIKO USA
RICHARD YUKO CANADA
LOUIS YUKO ZANZIBAR ANAANZA MAISHA MAPYA NA FIANCEE WAKE.

SO DAD KAENDA KUTEMBEA UGANDA UWA ANAENDA ANAKAAA AKICHOKA ANARUDI TANZANIA, TUNAMTUNZA SAAANA RICHARD SENDS HIM MONEY AND I DO THE SAME EVERY MONTH. HE IS VERY HAPPY IN UGANDA NI MANENO YA WATU MY DEAR. NA NDO MANA SIKUPOTEZA WAKATI KUYAJIBU.

Yule alietangaza nataka nimuhulize Swali anapenda kumsema hubby wangu na matatizo ya moyo abayo yako solved ilikuwa ni mother nature ni kitu ambacho kinatokea hata the best ATHLETES in the world watu wenye afya njema wana pata.

SWALI: Je anaweza fananisha na case ya baba yake alie amuwa TO STOP HIS HEART FROM BREATHING????? yani unaweza linganisha situation ya mume wangu ya mother nature na baba yake alie shindwa maisha na stress mpaka akastopisha moyo wake mwenyewe???? ha ha haaaa NOW THATS MESSED UP!!!!!!!. (good bye LOTS OF LOVE MMMwaahhh)


LINDA ZE BEAUTY! (Kweli kwa uzuri tu Mungu tu kakujaliaaa, nashangaaa minyangau ya humu inavotaka kusafiria nyota yako hahahaaaaaaaaa) SI MLIMALIZA UGOMVI LAKINIIIIIIIIIIIIII!? KWANI HUWEZI KUWA WEWE HUMU BILA KUJIHUSISHA NA MWENZIO? WHY?

JUST ENJOY YOUR FAME, BOND NA FANS WAKO, TALK ABOUT YOU, ENJOY THE A.SS KISSING AND LICKING BILA HABAREEEEEEE. WASEMA HOVYO KAMA MIE AND CO. TUPOTEZEEEEE TU. After all huu uzi ni wako wewe kuelezea YOUR STORY, sasa dont get your attention diverged. Utaacha kuongea ya msingi ujibizane na ID za waosha vinywaaaa.

Kuna watu kama mie namsapoti Mange hata akinya barabarani nitamtetea, kama alibanwa na uharishi mlitaka ajiharishie mumuone chizi, si bora alivovua nguo na kunya barabarani. Hahahahaaaaaaaaaa!

Otherwise KRIBU BWANAAAA, LINDA ZE BEAUTY! Langu mie jicho.
 
USIWASIKILIZE WANAOROPOKA KWA KUTAFUTA NAMNA ZOTE ILI WANITEKETEZE. BABA YETU ANAISHI UGANDA NA AUNTY ZANGU. KWANI NDUGU ZANGU WOTE WA UPANDE WA BABA NI WAGANDA . BABA YANGU KATOKEA UGANDA BAADAE ALICHUKUWA URAIA WA TANZANIA SABABU YA MAMA.

NA HIVI SASA BAADA YA SIE WOTE KUKUWA NA VILE MAMA AMEFARIKI KAAMUWA KURUDI UGANDA .
MIMI LINDA NIKO USA
RICHARD YUKO CANADA
LOUIS YUKO ZANZIBAR ANAANZA MAISHA MAPYA NA FIANCEE WAKE.

SO DAD KAENDA KUTEMBEA UGANDA UWA ANAENDA ANAKAAA AKICHOKA ANARUDI TANZANIA, TUNAMTUNZA SAAANA RICHARD SENDS HIM MONEY AND I DO THE SAME EVERY MONTH. HE IS VERY HAPPY IN UGANDA NI MANENO YA WATU MY DEAR. NA NDO MANA SIKUPOTEZA WAKATI KUYAJIBU.

Yule alietangaza nataka nimuhulize Swali anapenda kumsema hubby wangu na matatizo ya moyo abayo yako solved ilikuwa ni mother nature ni kitu ambacho kinatokea hata the best ATHLETES in the world watu wenye afya njema wana pata.

SWALI: Je anaweza fananisha na case ya baba yake alie amuwa TO STOP HIS HEART FROM BEATING????? yani unaweza linganisha situation ya mume wangu ya mother nature na baba yake alie shindwa maisha na stress mpaka akastopisha moyo wake mwenyewe???? ha ha haaaa NOW THATS MESSED UP!!!!!!!. (good bye LOTS OF LOVE MMMwaahhh)

Wakili wako nasema mpaka hapa maelezo na fact zimejitosheleza have a seat now waache wanajamvi wajisomee untold story.

Hii ndio JF kwenye check and balance mechanism na siyo mtu kutumia network yake na maswahiba zake kushambulia wengine ambao hawana uwezo wa kukujibu palepale.
 
Mimi Linda angekuwa mke wangu kazi yangu mie moja tuu...Kila baada ya miezi 9 namzalisha hakuna la zaidi na nazidi kumpenda

maana kwanza amekaaa kupendwa pendwa vileeee.

japo ni mke wa mtu lakini nita tubu tuuuu.. Usiku ukifika napiga YATHAWAAAAB THUBALAIYNAAAAAAA WAGHFIRLANAAAA YATHAWAAAAAB


10881740_1394459494181941_1439621818_n.jpg



dont-touch-the-girls.gif
 
USIWASIKILIZE WANAOROPOKA KWA KUTAFUTA NAMNA ZOTE ILI WANITEKETEZE KITU AMBACHO NI IMPOSSIBLE LAITI WANGEJUWA WHO I AM HERE IN ATL NAISI WANGEJIUWA. WANAFANYA ALAMBEE ZAO KWENYE KI ABUSIVE BLOG. SIFA YA HIYO BLOG TO NI MBAYA TELL ME HOW WILL THAT DESTROY ME. INGEKUWA WANA FABRICATE KWENYE TV NA RADIO ZA ATLANTA THEN NINGESHTUKA :) :).

BABA YETU ANAISHI UGANDA NA AUNTY ZANGU. KWANI NDUGU ZANGU WOTE WA UPANDE WA BABA NI WAGANDA . BABA YANGU KATOKEA UGANDA BAADAE ALICHUKUWA URAIA WA TANZANIA SABABU YA MAMA.

NA HIVI SASA BAADA YA SIE WOTE KUKUWA NA VILE MAMA AMEFARIKI KAAMUWA KURUDI UGANDA .
MIMI LINDA NIKO USA
RICHARD YUKO CANADA
LOUIS YUKO ZANZIBAR ANAANZA MAISHA MAPYA NA FIANCEE WAKE.

SO DAD KAENDA KUTEMBEA UGANDA UWA ANAENDA ANAKAAA AKICHOKA ANARUDI TANZANIA, TUNAMTUNZA SAAANA RICHARD SENDS HIM MONEY AND I DO THE SAME EVERY MONTH. HE IS VERY HAPPY IN UGANDA NI MANENO YA WATU MY DEAR. NA NDO MANA SIKUPOTEZA WAKATI KUYAJIBU.

Yule alietangaza nataka nimuhulize Swali anapenda kumsema hubby wangu na matatizo ya moyo abayo yako solved ilikuwa ni mother nature ni kitu ambacho kinatokea hata the best ATHLETES in the world watu wenye afya njema wana pata.

SWALI: Je anaweza fananisha na case ya baba yake alie amuwa TO STOP HIS HEART FROM BEATING????? yani unaweza linganisha situation ya mume wangu ya mother nature na baba yake alie shindwa maisha na stress mpaka akastopisha moyo wake mwenyewe???? ha ha haaaa NOW THATS MESSED UP!!!!!!!. (good bye LOTS OF LOVE MMMwaahhh)



وَيْلٌ لِّكُلِّ هُمَزَةٍ لُّمَزَةٍ ﴿١﴾



Wayl (adhabu ya Moto) kwa kila mwenye kukashifu (watu) kwa kusengenya, mfedheheshaji kwa ishara (anayekejeli watu kwa uso, macho na mikono).[2]
 
  • Thanks
Reactions: naa
narudia tena kusema hiviiii


Hawa akina Mange, na vi bushuti wenzao woooote hata wafike 2000 hawawezi kumfikia Linda kwa lolote lile

in short huwezi linganisha usiku na mchana




عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ (رضي الله عنه) أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ قَالَ: ((أَتَدْرُونَ مَا الْغِيبَةُ؟)) قَالُوا: اللَّهُ وَرَسُولُهُ أَعْلَمُ. قَالَ: ((ذِكْرُكَ أَخَاكَ بِمَا يَكْرَهُ)) قِيلَ: أَفَرَأَيْتَ إِنْ كَانَ فِي أَخِي مَا أَقُولُ؟ قَالَ: ((إنْ كَانَ فِيهِ مَا تَقُولُ فَقَدْ اغْتَبْتَهُ وَإِنْ لَمْ يَكُنْ فِيهِ فَقَدْ بَهَتَّهُ)) مسلم

Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah (رضي الله عنه) kwamba Mtume wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) aliuliza: ((Je mnajua maana ya Ghiybah [Kusengenya]?)) Wakasema: Allaah na Mjumbe Wake wanajua. Akasema: ((Ni kumtaja ndugu yako kwa jambo analolichukia)). Akaulizwa: Hebu nieleze, iwapo ndugu yangu anayo yale niyasemayo? Akasema: ((Ikiwa analo hilo usemalo basi umeshamsengenya, na ikiwa hana hilo usemalo basi umeshamzushia uongo))
 
Hili swala la uvundo wa k mwenyewe na wafuasi wake huwa hawaliongelei kabisa amazing

يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا يَسْخَرْ قَوْمٌ مِّن قَوْمٍ عَسَىٰ أَن يَكُونُوا خَيْرًا مِّنْهُمْ وَلَا نِسَاءٌ مِّن نِّسَاءٍ عَسَىٰ أَن يَكُنَّ خَيْرًا مِّنْهُنَّ ۖ وَلَا تَلْمِزُوا أَنفُسَكُمْ وَلَا تَنَابَزُوا بِالْأَلْقَابِ ۖ بِئْسَ الِاسْمُ الْفُسُوقُ بَعْدَ الْإِيمَانِ ۚ وَمَن لَّمْ يَتُبْ فَأُولَـٰئِكَ هُمُ الظَّالِمُونَ ﴿١١﴾ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اجْتَنِبُوا كَثِيرًا مِّنَ الظَّنِّ إِنَّ بَعْضَ الظَّنِّ إِثْمٌ ۖ وَلَا تَجَسَّسُوا وَلَا يَغْتَب بَّعْضُكُم بَعْضًا ۚ أَيُحِبُّ أَحَدُكُمْ أَن يَأْكُلَ لَحْمَ أَخِيهِ مَيْتًا فَكَرِهْتُمُوهُ ۚ وَاتَّقُوا اللَّـهَ ۚ إِنَّ اللَّـهَ تَوَّابٌ رَّحِيمٌ ﴿١٢﴾





Enyi mlioamini! Watu (wanaume) wasiwadharau watu (wengineo, kwani) huenda (waliodharauliwa) wakawa bora kuliko wao. Na wala wanawake (wasiwadharau) wanawake (wengineo), huenda (waliodharauliwa) wakawa bora kuliko wao. Na wala msikashifeni, na wala msiitane majina ya utani (mabaya). Uovu ulioje wa jina la ufasiki baada ya iymaan. Na yeyote asiyetubu, basi hao ndio madhalimu. Enyi mlioamini! Jieupusheni sana na dhana, kwani hakika baadhi ya dhana ni dhambi. Na wala msipelelezane, na wala wasisengenyane baadhi yenu wengineo. Je, anapenda mmoja wenu kula nyama ya nduguye aliyekufa? Mkalichukia hilo! Na mcheni Allaah! Hakika Allaah ni Tawwaabur-Rahiym (Mwingi wa kupokea tawbah - Mwenye kurehemu).[2]
 
Hili letamkoz kwakweli limenifurahisha.
Sisemi sana ila walokuwa wanasema mzee katelekezwa nadhani na wao wameona haya maandishi.

Hayo ya huyo mwingine ni vema ukayaacha tu yapite. Fanya kuyatupia kapuni then unaendelea na mambo yako ya msingi.

Btw, usisahau hapa tunamuongelea Linda Bezuidenhout na status yake. Hayo mengine ya kusemwa achana nayo and I assume ugomvi umeisha! Hata kama bado una kinyongo jilazimishe tu kupotezea......kiukweli tunakukubali sana haujui tu ugomvi na kutukanana na watu kunakupunguzia credit!

USIWASIKILIZE WANAOROPOKA KWA KUTAFUTA NAMNA ZOTE ILI WANITEKETEZE KITU AMBACHO NI IMPOSSIBLE LAITI WANGEJUWA WHO I AM HERE IN ATL NAISI WANGEJIUWA. WANAFANYA ALAMBEE ZAO KWENYE KI ABUSIVE BLOG. SIFA YA HIYO BLOG TO NI MBAYA TELL ME HOW WILL THAT DESTROY ME. INGEKUWA WANA FABRICATE KWENYE TV NA RADIO ZA ATLANTA THEN NINGESHTUKA :) :).

BABA YETU ANAISHI UGANDA NA AUNTY ZANGU. KWANI NDUGU ZANGU WOTE WA UPANDE WA BABA NI WAGANDA . BABA YANGU KATOKEA UGANDA BAADAE ALICHUKUWA URAIA WA TANZANIA SABABU YA MAMA.

NA HIVI SASA BAADA YA SIE WOTE KUKUWA NA VILE MAMA AMEFARIKI KAAMUWA KURUDI UGANDA .
MIMI LINDA NIKO USA
RICHARD YUKO CANADA
LOUIS YUKO ZANZIBAR ANAANZA MAISHA MAPYA NA FIANCEE WAKE.

SO DAD KAENDA KUTEMBEA UGANDA UWA ANAENDA ANAKAAA AKICHOKA ANARUDI TANZANIA, TUNAMTUNZA SAAANA RICHARD SENDS HIM MONEY AND I DO THE SAME EVERY MONTH. HE IS VERY HAPPY IN UGANDA NI MANENO YA WATU MY DEAR. NA NDO MANA SIKUPOTEZA WAKATI KUYAJIBU.

Yule alietangaza nataka nimuhulize Swali anapenda kumsema hubby wangu na matatizo ya moyo abayo yako solved ilikuwa ni mother nature ni kitu ambacho kinatokea hata the best ATHLETES in the world watu wenye afya njema wana pata.

SWALI: Je anaweza fananisha na case ya baba yake alie amuwa TO STOP HIS HEART FROM BEATING????? yani unaweza linganisha situation ya mume wangu ya mother nature na baba yake alie shindwa maisha na stress mpaka akastopisha moyo wake mwenyewe???? ha ha haaaa NOW THATS MESSED UP!!!!!!!. (good bye LOTS OF LOVE MMMwaahhh)
 
Wakili wako nasema mpaka hapa maelezo na fact zimejitosheleza have a seat now waache wanajamvi wajisomee untold story.

Hii ndio JF kwenye check and balance mechanism na siyo mtu kutumia network yake na maswahiba zake kushambulia wengine ambao hawana uwezo wa kukujibu palepale.

Umetisha your honour!
 
LINDA ZE BEAUTY! (Kweli kwa uzuri tu Mungu tu kakujaliaaa, nashangaaa minyangau ya humu inavotaka kusafiria nyota yako hahahaaaaaaaaa) SI MLIMALIZA UGOMVI LAKINIIIIIIIIIIIIII!? KWANI HUWEZI KUWA WEWE HUMU BILA KUJIHUSISHA NA MWENZIO? WHY?

JUST ENJOY YOUR FAME, BOND NA FANS WAKO, TALK ABOUT YOU, ENJOY THE A.SS KISSING AND LICKING BILA HABAREEEEEEE. WASEMA HOVYO KAMA MIE AND CO. TUPOTEZEEEEE TU. After all huu uzi ni wako wewe kuelezea YOUR STORY, sasa dont get your attention diverged. Utaacha kuongea ya msingi ujibizane na ID za waosha vinywaaaa.

Kuna watu kama mie namsapoti Mange hata akinya barabarani nitamtetea, kama alibanwa na uharishi mlitaka ajiharishie mumuone chizi, si bora alivovua nguo na kunya barabarani. Hahahahaaaaaaaaaa!

Otherwise KRIBU BWANAAAA, LINDA ZE BEAUTY! Langu mie jicho.

Duh!!! Hahahaaaaaaaa!! Lara moko
 
Natumaini wote weekend ilikuwa poa na kama nilivyowaahidi last week nitaingilia kati beef la hawa wanawake kwa heshima ya Mr Mali na watoto zao pia.Nimefanikiwa kumshawishi Linda aachane na malumbano haya amekubali Dinazarde Heaven on Earth Avemaria lara 1 warumi and others........
Mkuu Matola, huwezi amini, nilimfahamu huyu Lida akiwa Bongo, na Half London, leo nilipogoogle ndio nikatambua kumbe ni mke wa Mali, ni school mate wangu primary ila yeye alitangulia, hivyo sasa ni heshima adabu kwa huyu dada ni shemeji yetu!, ila kiukweli ni mzuri mpaka basi!,
images
images


images
[*
.
Pasco
 
Passport yake imetolewa March 2007 ila visa imetolewa January 2007. Previous passport yske ipo wapi?
Mana visa yoyote inakuwa na passport details.
Mm naona mngeyaacha tuu hayo mambo, mtakuja kumuharibia bure. Anafikiri wazungu hawasomi hizo blog zenu. Wengi wanajua kiswahili na km ametengeneza atakuja kujiharibia.
watu wengi hutengeneza hizo viza na huonekana km real visa.

Sijui kwanini hawajakujibu swali rahisi kama hili. Hapo hakuna visa ya marekani. Hiyo unayoona imetolewa january 2007 ni green card. Green card haigongwi kwenye passport. Ni kicard unapewa. ukiwa na green card huitaji visa ya kuingia marekani. Just google ujue usiamini maneno yangu. Sasa hapo linda inaelekea alipata green card january 2007. Baada ya kupata green card ndo akaenda kurenew passport march of 2007. Unavyosema wewe ni kama vile hiyo green card imevandikwa kwenye passport ndo maana unahoji iweje green card wewe unaaita visa itolewe january kabla ya passport iliyotoka march? Kifupi ni kwamba watanzania wengi wakiingia marekani kama hawana green card wanajua hawawezi kutoka na kuingia so huwa hawajali passport zao sasa wakishanyala green card ndo kila mtu anatengeneza passport aweze kutoka...muulize yeyote aliekaa marekani atakupa jibu au just google do you need american visa if you have a green card?
 
Natumaini wote weekend ilikuwa poa na kama nilivyowaahidi last week nitaingilia kati beef la hawa wanawake kwa heshima ya Mr Mali na watoto zao pia.

Nimefanikiwa kumshawishi Linda aachane na malumbano haya amekubali lakini lazima tuweke record very clear na aliyedanganywa basi fact nitaziweka hapa.

1. Linda siyo mkimbizi

2. Linda anatumia passport ya Tanzania

3. Linda ana permanent resident permit ya US

4. Linda alifanya tour ya europe kwa kutumia Tanzanian passport na alipewa sheghen viza.

Nisikuchoshe wala usinichoshe tupate fact.

Nb: jina la Ishtaq ni la X wake ambapo tataratibu za kulibadiri zilimpotezea muda akaondoka zake.

Hizi ni fact kwa wale wanajimu wanaowaita wenzao wakimbizi.

The end.
Dinazarde Heaven on Earth Avemaria lara 1 warumi and others........

Hivi kwani kuwa mkimbizi ni rahisi kihivyo? Sasa record zako unazikataaje manake kama uliomba visa tanzania pale ubalozini wana record. Siku unapoingia marekani unaacha record wanakupa 1-94..kile kicard kilichomnasisha sitti mtemvu umri wake. Sasa siku ukisema wewe mkimbizi wa congo unajielezeaje wamarekani wakuamini? Nauliza tuu kama hiyo dili ni rahisi ndugu zetu wajilipue wawe wacongo wapate na wao makaratasi hali ngumu bila paper mtaani mweeeee
 
Sijui kwanini hawajakujibu swali rahisi kama hili. Hapo hakuna visa ya marekani. Hiyo unayoona imetolewa january 2007 ni green card. Green card haigongwi kwenye passport. Ni kicard unapewa. ukiwa na green card huitaji visa ya kuingia marekani. Just google ujue usiamini maneno yangu. Sasa hapo linda inaelekea alipata green card january 2007. Baada ya kupata green card ndo akaenda kurenew passport march of 2007. Unavyosema wewe ni kama vile hiyo green card imevandikwa kwenye passport ndo maana unahoji iweje green card wewe unaaita visa itolewe january kabla ya passport iliyotoka march? Kifupi ni kwamba watanzania wengi wakiingia marekani kama hawana green card wanajua hawawezi kutoka na kuingia so huwa hawajali passport zao sasa wakishanyala green card ndo kila mtu anatengeneza passport aweze kutoka...muulize yeyote aliekaa marekani atakupa jibu au just google do you need american visa if you have a green card?

Hivi kwani kuwa mkimbizi ni rahisi kihivyo? Sasa record zako unazikataaje manake kama uliomba visa tanzania pale ubalozini wana record. Siku unapoingia marekani unaacha record wanakupa 1-94..kile kicard kilichomnasisha sitti mtemvu umri wake. Sasa siku ukisema wewe mkimbizi wa congo unajielezeaje wamarekani wakuamini? Nauliza tuu kama hiyo dili ni rahisi ndugu zetu wajilipue wawe wacongo wapate na wao makaratasi hali ngumu bila paper mtaani mweeeee
zels pata tuition ya bure hapa wewe na misukule wenzako wenye akili ya kuvukia barabara.

BTW Pasco umetisha kwenye bandiko lako.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom