Exclusive: Ukweli kuhusu Linda Beizudenhout na status yake

Status
Not open for further replies.
blogger-image--1462555036.jpg
 
Visa yake ni ya ku forge. Tusubilie mwisho wake. Mnataka kuwa kufirahisha anonymous haya

I have got nothing to lose my dear, mm ni msomaji tuu. Ila ukweli utabski ukweli. Mtamuhsribia mwenzenu.
Yy hatokuwa wa kwanza wala wa mwisho ku forge, ila awe mpole tuu. Ujanja ilimponza sungura

Achana nao, watu kama hawa unawapa ujumbe huu.

TUMEJUA HATMA YAO WANATUTAFUTA SHARIIII! WAACHE WAFANYE VITUKO NA KEBEHI ZAO, HAWATATUPADISHA MORI, TUTAWANDISHA UTAWASHUSHA NA KUWATIA KWENE DUSTBIN!

WACHONGE WACHONGAVYO JIDOMO LIFIKE KULEEEEEEEEEE
WABWATUKE WABWATUKAVYO L.A MAISHA YANAMUENDEA MBELE,
WAROPOKE ROPOKE OVYOOOO WAWE MSTARI WA MBELEEE, KWA YULE HAWAOPOIII
WAFANYE ROHO ZAO WAFANYAVYO ZIJAE GUNIA TELE NAAPA HAKIIIIIII KWA YULE HAWAOPOI!

WAPANDISHE WASHUSHE WATIE KWENYE DUSTBIN!

https://www.youtube.com/watch?v=T9aSkxifePs YA KULALIA.

cc MHANDOw hapo vipi?
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: naa
Visa yake ni ya ku forge. Tusubilie mwisho wake. Mnataka kuwa kufirahisha anonymous haya

Aaaaah aaaah!!! Apo chacha dada ake ni shidaaaaa....unanitafuta ubaya unajuaa?? Maana leo ntachambika mpaka hasubuhi...unaniruhusu nitaje team yangu? From moyon kabisaa??

Hahahaaaaaaaaa! TAJAAAAAAAAAAAAAAAAA! Kwani kitu gani banaaaaaaaaaaaa! MIMI NIMEALIKWA RASMI NA BABY, ngoma inakesha hiii. Nimechoka kuvua vidagaaaa, nataka niliwahi PAPA mie:poa
 
Natumaini wote weekend ilikuwa poa na kama nilivyowaahidi last week nitaingilia kati beef la hawa wanawake kwa heshima ya Mr Mali na watoto zao pia.

Nimefanikiwa kumshawishi Linda aachane na malumbano haya amekubali lakini lazima tuweke record very clear na aliyedanganywa basi fact nitaziweka hapa.

1. Linda siyo mkimbizi

2. Linda anatumia passport ya Tanzania

3. Linda ana permanent resident permit ya US

4. Linda alifanya tour ya europe kwa kutumia Tanzanian passport na alipewa sheghen viza.

Nisikuchoshe wala usinichoshe tupate fact.

Nb: jina la Ishtaq ni la X wake ambapo tataratibu za kulibadiri zilimpotezea muda akaondoka zake.

Hizi ni fact kwa wale wanajimu wanaowaita wenzao wakimbizi.

The end.
Dinazarde Heaven on Earth Avemaria lara 1 warumi and others........



Thank you
 
Visa yake ni ya ku forge. Tusubilie mwisho wake. Mnataka kuwa kufirahisha anonymous haya

naomba kuendelezea tafadhali
nimezaliwa na mama sijatokea shimoniiii!!!

Langu jicho ya Jokha Khasimu ikuburudishe, na TOP IN TOWN ya Khadija Kopa ikutafutie usingizi.:A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1: Deeva wa kipanya taratibu mkono na pajaaaaaaa! Siti wa mwana nyamala HQ ya mikwara, ukicheza cheza vizuri, huyo aliekukanyaga ndo anakuchukulia mme, HG wako ukitoka ndani anageuka paka shume, MUMEO ANA UMEMEEEEE! Wengine si wanawake ni VIKWEKWEREKE! Si maneno yangu hayooooooooooo! Akhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Bibi Khadija Omary Kopa akikwambia TOP IN TOWN!
 
All in all .....Linda is beautiful.....hilo tu....

BEAUTIFUL ONES ARE NOT YET BORN- Cyprian Ekwensi.:poa Kitabu hiko cha O level.

Sitakiiiiiiiiiii, sitakiiiiiiiiiii maneno na mtuuuuuuu, sitakiiiiiii sitakiiiiiiiiii ugomvi na mtu.
 
Hahahaaaaaaaaa! TAJAAAAAAAAAAAAAAAAA! Kwani kitu gani banaaaaaaaaaaaa! MIMI NIMEALIKWA RASMI NA BABY, ngoma inakesha hiii. Nimechoka kuvua vidagaaaa, nataka niliwahi PAPA mie:poa

Ni sheeeedah.... mie ntataja tu ,sio mimi bali ni chaguo la moyo tu, wala sio warumi, sooon ntafunguka, kama uchaguzi wa moyo utaniponza bhasi sawaaaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom