obi's
JF-Expert Member
- Dec 24, 2011
- 233
- 39
Kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu wa haki aliekutetea pale Dodoma walipotaka kukunyang'anya uhai wako lakini wakashindwa! Asante Mwenyezi Mungu kwa zawadi ya uzima wa Rais wetu.
Swali 1:
Mh. Kuna baadhi ya watanzania ambao hawakusoma lakini Wana ujuzi, Kuna wale wameishia njiani hawakumaliza formfour, hawana vyeti vya shule lakini wanajua kusoma na kuandika vizuri lakini hawawezi kuajiriwa na serikali, mfano madereva, mafundi na watu kama hao, je ukiwa Rais wetu utaliweka vipi hili?
Swali 2: kunawatanzania wana mashamba/viwanja wananyimwa mikopo mpaka uwe na nyumba, je utaliangalia hili ili watu wa aina hiyo wakopesheke?
Swali 3: elimu bure yetu imekuwa bure kweli, je utabadirisha/ kuboresha elimu bure kuwa elimu ya kujiari badala kutegemea ajira? La mwisho, chama tawala kimetugawa, kimepandikiza chuki, unatakiwa kuisifia CCM tu, ukisema tofauti na matakwa yao wewe unakuwa mchochezi, unatumika kibaraka wa mabeberu, siyo mzalendo na maneo ya aina hiyo, je utakomesha tabia hizo za uonevu? Asante
Swali 1:
Mh. Kuna baadhi ya watanzania ambao hawakusoma lakini Wana ujuzi, Kuna wale wameishia njiani hawakumaliza formfour, hawana vyeti vya shule lakini wanajua kusoma na kuandika vizuri lakini hawawezi kuajiriwa na serikali, mfano madereva, mafundi na watu kama hao, je ukiwa Rais wetu utaliweka vipi hili?
Swali 2: kunawatanzania wana mashamba/viwanja wananyimwa mikopo mpaka uwe na nyumba, je utaliangalia hili ili watu wa aina hiyo wakopesheke?
Swali 3: elimu bure yetu imekuwa bure kweli, je utabadirisha/ kuboresha elimu bure kuwa elimu ya kujiari badala kutegemea ajira? La mwisho, chama tawala kimetugawa, kimepandikiza chuki, unatakiwa kuisifia CCM tu, ukisema tofauti na matakwa yao wewe unakuwa mchochezi, unatumika kibaraka wa mabeberu, siyo mzalendo na maneo ya aina hiyo, je utakomesha tabia hizo za uonevu? Asante