Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,125
- 8,231
Mheshimiwa,
Sisi tuliokuwa sekta ya Madini tumeachwa katika wakati mgumu mno,
Je, utaifanyia nini sekta ya Madini ambayo imeleta mgogoro hasa katika sakata la Barrick na Serikali ya Magufuli kuaminisha watanzania kuwa wewe ni dalali wa mabeberu?
Sisi tuliokuwa sekta ya Madini tumeachwa katika wakati mgumu mno,
Je, utaifanyia nini sekta ya Madini ambayo imeleta mgogoro hasa katika sakata la Barrick na Serikali ya Magufuli kuaminisha watanzania kuwa wewe ni dalali wa mabeberu?