Za muda huu wadau. Hope mpo Ok.
Karibuni katika interview. Kama mada ilivyo ni pana ila Tutajaribu kuangalia kwa ujumla ni kwa namna gani suala la online dating kwa context yetu ya kitanzania linavyochukuliwa na jamii hasa wazazi na daters wenyewe.
Interviewee kwa leo atakuwa Shunie. wadau wengine mtakaribishwa kuuliza maswali pale itapowezekana.
Ok,
Turudi kwenye mada ya leo. Nadhani sio mara yako ya kwanza kusikia neno online dating hasa ikitegemea wewe ni mtumiaji mzuri wa mitandao kama JF na mengine.
Unaweza kutuambia umeielewaje mada japo kwa ufupi kabla hatujaendelea mbele ?
Ok,
Turudi kwenye mada ya leo. Nadhani sio mara yako ya kwanza kusikia neno online dating hasa ikitegemea wewe ni mtumiaji mzuri wa mitandao kama JF na mengine.
Unaweza kutuambia umeielewaje mada japo kwa ufupi kabla hatujaendelea mbele ?
Heewaala, dunia siku hizi imejisogeza karibu saana...unaweza kufanya lolote kiganjani mwako na limojawapo ni hili la kufahamiana na watu au kuanzisha mahusiano mitandaoni.
Kwako hili suala la kuanzisha mahusiano mtandaoni ni sahihi? Yes/no. kwanini?