uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 14,680
- 20,445
- Thread starter
- #21
nimeenda mbio ee nilianza form 3 bt kwakuwa mama yangu tulikuwa tunamuita kamanda yaani alikuwa mkali kupita kiasi so niliogopa ngono kama jehanam hata kunikiss sikumruhusu aliheshim hilo
ha ha ha ha! kwa hiyo alikuwa akitaka kiss unakimbia ama? afu mlikutanaje kwani?