Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,000
- 13,066
mzinifu uyo bola huibe cheti lakini dhambi yakuzini na waumini nimbaya…sanaaaaaaa atupishe kanisani
Alizini na wewe au?
Halafu kajifunze somo la Imla kwanza!
mzinifu uyo bola huibe cheti lakini dhambi yakuzini na waumini nimbaya…sanaaaaaaa atupishe kanisani
Kachape alafu uweke A kila palipo na fa fa fa, tuone utakapofika. Na kama unaweza kwanini hamkumsaidia ili aviweke wazi vyeti vyake..?Hata mi naweza chapa cha kwake. Kwani si swala la kuwa na komputa na printer tu!
Tena amesema ameamua kulitoa baada ya kuona rais pia yuko kimya na kiumbe kiburi kinazidi, anavamia vituo vya redio, mwisho atavamia wake zetu.Hili ndio lilikuwa kombora la Mwisho la Askofu. Ila alishatahadharisha! Kuwa asichokozwe tena!
Big Up Askofu Gwajima!
Umechemsha division zero huwa hakuna certificate zaidi ya leaving certificate ambayo haina credits....Nendeni mkajipange upya...
Angalia hapo juu kuna statement of results siyo chetiPicha ya cheti tunaomba
Hicho sio cheti ni matokeo ya kidato cha NNE.Tangu lini cheti cha daraja zero kikatolewa na NECTA?
atumtaki mnzizi atoke kanisaniHayo ya unzinzi wa mchungaji ni kesi nyingine, tunaangalia kesi iliyoko mezani ni vyeti vya Daudi Bashite.
Cheti kikitoka kina kuwa na Majina tofauti na hayo au hizo maksi ndio zinabadilika?Result Slip......sio cheti?
Tangu lini cheti cha daraja zero kikatolewa na NECTA?
Kwani mtu kipata zero unapewa cheti?
Umechemsha division zero huwa hakuna certificate zaidi ya leaving certificate ambayo haina credits....Nendeni mkajipange upya...
Necta watusaidie miaka hiyo ni kweli walikuwa wanatoa vyeti au la?
Hakuna academic certificate ya div.zero.
Sikumbuki kama necta wanatoaga vyeti vya div. 0
Ukipata zero hupewi cheti
Zero kumbe wanapata Cheti.... Ni hii hii serikali ya Tanzania au?
Haaaah Kuna Cheti Cha sifuri kweli????
Cheti cha zero!! Cjawahi kukiona maishani mwangu
Acheni kujitoa ufahamu ishu kuu ni matokeo yanayothibitisha Bashite kupata zero na hiyo ni results slip wame print kama ni uongo basi Bashite akamfungulie mshtaka na aweke vyeti halisitatzo watu wanapelekwa kama misukule mana najiuliza cheti chenye div ziro kinafafane
This is good stuff for Nyumbus and Mbururas.Askofu Gwajima atoa cheti cha Daudi Albert Bashite na kusema kuwa alipata F masomo yote ya Sekondari hadi Bible Knowledge.
Matokeo hayo ni ya Kidato cha nne, Shule ya Sekondari Pamba.
Alama ni kawa ifuatavyo
View attachment 483365
- Civics - F
- History - F
- English - F
- Geography - F
- Biology - F
- Kiswahili - F
- Mathematics - F
- Physics - F
- Chemistry - F
- Bible Knowledge - F
Hicho sio cheti ni matokeo ya kidato cha NNE.
Kwani wanaofeli hawapewi au kuonyeshwa matokeo yao?
Kwan wewe dini gani mpaka ujue yote hayo?Bible ngumu sana bora hata Elim ya Dini ya Kiislam