Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,387
Kama umezaliwa 2000s utajulia wapi...? Zamani hata ukiwa na div -0 unapewa chetiSikumbuki kama necta wanatoaga vyeti vya div. 0
Kama umezaliwa 2000s utajulia wapi...? Zamani hata ukiwa na div -0 unapewa chetiSikumbuki kama necta wanatoaga vyeti vya div. 0
Kama kile cha clinic kilivyo chukua muda mrefu kutengenezwa...Nadhani Makonda atakapokuwa analeta chake, kitakuwa kimechukua muda mrefu zaidi kutengenezwa!
Mwenye ziro hapewi cheti!Askofu Gwajima atoa cheti cha Daudi Albert Bashite na kusema kuwa alipata F masomo yote ya Sekondari hadi Bible Knowledge.
Matokeo hayo ni ya Kidato cha nne, Shule ya Sekondari Pamba.
Alama ni kawa ifuatavyo
- Civics - F
- History - F
- English - F
- Geography - F
- Biology - F
- Kiswahili - F
- Mathematics - F
- Physics - F
- Chemistry - F
- Bible Knowledge - F
jamaa naona kama uko upande wamchugaji mnziziKumbe nawewe leo umeona kwamba nchi hii haina Rais...
Kikowapi...!?
Utachekwa dogo .. Necta zamani walikuwa wanatoa .. Usibishane na wakubwa tulia ikuingieHakuna kitu kama hiyo,acha uongo wako.
Watakuwa wameprint result slipMtu akipata zero hapati cheti cha NECTA atapata leaving tu. Sasa akipost picha ya cheti atakua kadanganya umma.
Unaongelea hapewi cheti kwa mwaka gani?Mwenye ziro hapewi cheti!
labda anaweza kuleta matokeo yake ya form 4 lakini sio cheti chake!