Jamani nyimbo za Ali Kiba zinakuwaga overrated sana,hivi huu wimbo tuongee tu ukweli unaweza kusimama na jini kisirani wa Amber Lulu? ongea kutoka moyoni...
Ngoja Da Mange ajue kama kuna mpya.....utashangaa ...wanamlemaza huyu dogo
Jamani nyimbo za Ali Kiba zinakuwaga overrated sana,hivi huu wimbo tuongee tu ukweli unaweza kusimama na jini kisirani wa Amber Lulu? ongea kutoka moyoni...
Hater!!Hiyo avatar yako haina swaga...
Nimekumiss
Hater!!
Njoo nikuambie
Duuh! Wewe nibanie tuu.Nakuja PM
unauskiaje ule mkwaju mkuu?ah ah ah serious,,km cjakosea uo jn ksran c una mistar ''unanuka p*p*''
.unauskiaje ule mkwaju mkuu?
ila jamaa anafaa sana kama atajiunga na FM Academia kwenye project zake.
uko poa,beat lmesmama sna