Exclusive-Ali Kiba-tupendane!!

Exclusive-Ali Kiba-tupendane!!

Safi sana
Screenshot_2018-05-11-13-52-26.jpg
 
ah kumbe amekua mrithi wa kina werasoni na mwijuma?
ulitaka aimbe kisingeli?....binafsi nimependa alivyo-fuse na miondiko ya kikongo na chakacha kwa mbali. bonge la ubunifu.

halafu ngoma inachezeka vizuri ukijumlisha sisi waafrika hasa wabantu tumebarikiwa kuwa na instinct ya kucheza mziki tofauti na jamii zingine za africa.
 
ulitaka aimbe kisingeli?....binafsi nimependa alivyo-fuse na miondiko ya kikongo na chakacha kwa mbali. bonge la ubunifu.

halafu ngoma inachezeka vizuri ukijumlisha sisi waafrika hasa wabantu tumebarikiwa kuwa na instinct ya kucheza mziki tofauti na jamii zingine za africa.
sioni ukifanya vyema siku za usoni labda kwa mbeleko ya chuma.
 
Duuh ngoma kali Kiseng☆ tena ukiisikiliza kwenye vifaa vya maana ndio utaenjoy zaidi
 
Jamani nyimbo za Ali Kiba zinakuwaga overrated sana,hivi huu wimbo tuongee tu ukweli unaweza kusimama na jini kisirani wa Amber Lulu? ongea kutoka moyoni...
ah ah ah serious,,km cjakosea uo jn ksran c una mistar ''unanuka p*p*''
 
Huyu jamaa ngoma yake 1 ina KILO nyingi sana kweli nimekubali kuwa kimya KING kina mshindo mkubwa.

Ni Hatarious.
 
Man Water aache umama sasa beat zake zinakua kama sare za shule
 
Kwa mara yakwanza kama nilivyoisikiliza seduce me nimeipenda bure kabisa
Ama kweli huyu ni king kiba forever
 
Back
Top Bottom