Ex wangu hajibu hata salamu yangu

Ex wangu hajibu hata salamu yangu

Kama anakausha fanya mambo yako labda kama unataka mludiane jaribu kuwatafuta watu wa karibu mkayajenga
 
Sasa akujibu salamu ya nini? Wewe pita hapo kama vile umeona jiwe.
Ukiwakuta unaowajua wasalimie kwa majina yao.
Habari Khantwe habari Depal kisha mruke endelea na safari.
Mtoa mada fata huu ushauri haki nakuambia majibu utayafurahia
 
Achana na salam nenda kijiweni kwake

Mapenzi ni raha ila mkiachana isiwe vita na madui
 
Bado ana kupenda.. ila cha kuelewa huyo ulifanya makosa kumvulia chupi.. maana anakili za kitoto na ananuka maziwa..
 
Mwambie "Nakuja chumbani kwako lakini sitakaa"!! Uone atakavyojibu faster
 
Kwa maelezo yako inaonekana wewe bado unampenda huyo mpenzi wako mlieachana ingawa yeye anaonekana hana tena time na wewe.Maisha ni mafupi sana hivyo acha kujipa stress, kama anakupenda atarudi tu hivyo kwasasa punguza kumshobokea.
 
Huwa inatokea tu,inawezekana ana mke/mchumba sasa anahofia akiruhusu ukaribu na wewe inaweza kumgharimu. Mfano kwa uzoefu,kuna mwanamke nilizaa naye....nampa ushirikiano kwenye malezi ya dogo,lakini yeye anaweka mazingira yamimi niwasiliane naye mara kwa mara,sasa hili ni tatizo.
 
jaribu kumwambia kuwa una nyegezi, uone atakujibuje.
 
Hii malalamiko ndio alichokua anataka. Hakuitikii,unaanza kuwa desperate na kuambia watu. Siku akikuitikia unafurahi hadi unarudi.

Mpotezee, chukua tyme.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuh!! Move on girl. Si lazima kila mahusiano yaishie ndoa. Utaendelea kujiumiza na kujiuliza uliza maswali hata lini?
 
Hizo pigo niza kike,Sasa kidume ananuna na kumvimbia wa kike.ndio maana mliachana sio mwanaume huyo..

Mkaushie fanya mambo yako wanaume wapo wengi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuongelee reality kwani wapi imeandikwa kwamba mwanaume huwa hanuni? Na wapi exactly imeelezwa kwamba mwanaume anayemnunia mwanamke ana pigo za kike?
Sote ni wanaadamu haijalishi ni wa kike au wa kiume hisia sote tunazo, hizi mambo za kularirishana sjui ukifanya hiki wewe wa kike ndiyo maana wanawake wanaishi maisha mareefu mno kuliko sisi ni kwa sababu hawafichi hisia.

《Caprichar o teu sorriso》
 
Sio kukumbushia viporo kuachana sio vita mtu nikimsalimia asipojibu salamu huwa najisikia vibaya

time will tell
[emoji23][emoji23] hauoni kuwa bado mnapendana ninyi?

《Caprichar o teu sorriso》
 
Sasa akujibu salamu ya nini? Wewe pita hapo kama vile umeona jiwe.
Ukiwakuta unaowajua wasalimie kwa majina yao.
Habari Khantwe habari Depal kisha mruke endelea na safari.
unataka jamaa ashikwe na wivu wa ki x boyfriend?

《Caprichar o teu sorriso》
 
Mtoa mada fata huu ushauri haki nakuambia majibu utayafurahia
Mmeshajua kuwa akiwasalimia wengine lazima jamaa apatwe na wivu wa ki x boyfriend . [emoji23][emoji23] aiseee wanawake salute kwenu.

《Caprichar o teu sorriso》
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom