Ex wangu hajibu hata salamu yangu

Ex wangu hajibu hata salamu yangu

qvee baby sio kwamba niliacha kukujibu salamu yako makusud la hasha,nilikuwa na mawazo nilibetia kodi ya nyumba mkeka ukachanika.I'm sorry
 
Kipashwe
Nimepita mahala nimekutana na EX boy wangu nimempa salamu kiroho safi hajanijibu ananiangalia tu.

Hivi atakuwa anaona najipendekeza? Na kila siku lazima nipite pale anaposhinda maana ndio njia yangu ya kwenda kazini.

Waungwana mnisaidie mawazo lipi jema kupita bila kusalimia nimuache na kiburi chake au niwe namsalimu tu hata kama hajibu salamu zangu?

Time will tell

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom