Nimepita mahala nimekutana na EX boy wangu nimempa salamu kiroho safi hajanijibu ananiangalia tu.
Hivi atakuwa anaona najipendekeza? Na kila siku lazima nipite pale anaposhinda maana ndio njia yangu ya kwenda kazini.
Waungwana mnisaidie mawazo lipi jema kupita bila kusalimia nimuache na kiburi chake au niwe namsalimu tu hata kama hajibu salamu zangu?
Time will tell
Hivi atakuwa anaona najipendekeza? Na kila siku lazima nipite pale anaposhinda maana ndio njia yangu ya kwenda kazini.
Waungwana mnisaidie mawazo lipi jema kupita bila kusalimia nimuache na kiburi chake au niwe namsalimu tu hata kama hajibu salamu zangu?
Time will tell