Liverpool_Jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,220
- 1,417
- Thread starter
- #241
Alikua IPhone anarudi kwangu Techno...Hahahaa tako lilikuzuzua baharia
mi wa nini?
#YNWA
Alikua IPhone anarudi kwangu Techno...Hahahaa tako lilikuzuzua baharia
Duuh, msamehe tuu kwa maneno hayo ya dini. Niko muangalifu sana kwenye kusema dini ya mtu. Huwa naheshimu sana imani ya mtu, maana imani ya mtu ilipo ndipo alipo, ukimdhihaki kwenye imani yake tuu umemharibu... Na mahusiano hayawezi kuwepo.
Matata K.
Ukafiri si Neno baya kama unavyodhani....ni neno LA Kawaida sana kimaanaPole sana KAFIRI mwenzangu.
Alitaka asiye KAFIRI lakini nadhani kakutana na Ukafiri huko alipo.
Wewe ungekuja na elimu tu ya hivyo vitu badala ya kujifanaya unajua kumbe hujui chochote..... Njoo na elimu ya kumuelimisha kama wewe ni mjuzi wa mambo mkuu. Na mtoa mada akisoma nikujibuvyo akupotezee asihangaike na swali lako.
Watu tujifunzeni kiukweli. Dini zenyewe tumeletewa halafu unajifanya kuijua sana.
[emoji3][emoji3]Kamkimbia kafiri akakutana na ukafiri
Amen..Pole sana....Nadhani mtoa mada umeingiza mambo mawili...Kukataliwa na mwanamke Kwa kuwa Haukuwa Fresh Kwa kipato Kwa muda huo....na pili alikukataa Kwa Sababu Wewe mkristo na yeye muislam.
Kama Alikukataa Kwa tofauti ya Dini zetu alikuwa Sahihi....but kama alikutosa Kwa Sababu ya Kuchoka kwako Hapo Hakuwa Sahihi.
Why Kaamua kurudi....Tafakali Kwa kina,Dhiki ndo inamrudisha....Hana True love Huyo
#YNWA"tuliongea mengi ila alileta proposal anataka kurudi kwa kafiri"
ha ha ha ha ha ha.. nimecheka sana.
Alikuaje sahihi?Pole sana....Nadhani mtoa mada umeingiza mambo mawili...Kukataliwa na mwanamke Kwa kuwa Haukuwa Fresh Kwa kipato Kwa muda huo....na pili alikukataa Kwa Sababu Wewe mkristo na yeye muislam.
Kama Alikukataa Kwa tofauti ya Dini zetu alikuwa Sahihi....but kama alikutosa Kwa Sababu ya Kuchoka kwako Hapo Hakuwa Sahihi.
Why Kaamua kurudi....Tafakali Kwa kina,Dhiki ndo inamrudisha....Hana True love Huyo
😂😂😂😂yani huyo dada kifurushi chake kimebaki Dakika 5 kiishe
akiangalia salio anaambiwa
Ndugu mteja una dk 5600 za kupiga mitandao yote
SMS 280000000, DK 480000 ZA KUPIGA NNJE YA NCHI
data GB 35 za 4G
Kifurushi chako kitaisha ndani ya dk 5 zijazo.
(dada haelewi yaniiiiiiii)
Siyo kutokuamini uislam tu ndugu yangu........katika context ya uislam ni yule asiyeamini uislam.....lakini neno hilo hilo lingetumika kwa Budha nao wangesema asiyeamini ubudha ni kaafir......Maana yake halisi ni asiyeamini katika mungu na imani fulani. So hata mkristo akitumia hilo neno atamwita asiyeamini hiyo dini kaafir.Kafiri maana yake ni Asiyeamini katika Uislam...non Islam Beliver.
Wamshungi nawapenda sana ila uwa siwaamini kabisa, uwa naishia kuwatumia tupole sana kijana mwenzangu...hawa wanawake huwa awatabiriki kabisa....!
Ukala makombo?Katika viumbe vyenye dharau na wenye kujisahau ni hawa watoto wakike ,pole kiongozi na shukuru mungu kwa kupona majiraha ...
Mimi nilishawahi kataliwa enzi hizo sina kitu akaja olewa na mtu ambaye kwa wakati huo alikuwa na vyuma(pesa) ila mambo hayakuchukuwa muda kwa upande wao kubadilika na kushuka chini na mimi kuja juu ,[emoji23] alijirudi ila huwa namwambia huwa sisahau ubaya mtu naonifanyia kama ilivyokuwa unaponifanyia jema [emoji23] haya maisha yaache tu kama yalivyo ,tujifunze kutokumaliza maneno
Ha ha ha ha sawa mkuuMkuu huwa nakufananisha na mtu fudenge na nnadhan ni ww ila tuachie hapo
Ah kila mtu na uelewa wake na jinsi anavyopenda...so we kama umeona umri huo ndo sahihi kwako basi sawa... Kila la kheriAu wewe unaonaje mkuu?hawana utulivu huo?wanaelewa haraka sana.akikupenda hakusumbui,tofauti na madogo,wao aweza kukupenda lakini akakupigisha kwata kinoma.
Ila nadhani kuna kiukweli Fulani hivi..Ah kila mtu na uelewa wake na jinsi anavyopenda...so we kama umeona umri huo ndo sahihi kwako basi sawa... Kila la kheri
daa kwa hiyo sisi wakristo wote ni makafiri thats too bad keep that spirit homieAlisemaga "Mi siwezi kuolewa na mkristo.. Wakristo wotee MAKAFIRI..!!""#ASANTE
#YNWA