Ex wangu alivyonitesa leo ananililia

Ex wangu alivyonitesa leo ananililia

Inaonekana lile wenge la mapenzi alailokutoa kalirudisha maana ulivyoandika ni full mawenge mpaka inatia uvivu kusoma.


Ila ujumbe umefika. Hawa viumbe hawa Mungu anawaona, enzi hizo makapuku wanakudharau mbayaaaa mbovu. Ukitusua na yeye kashachezea mikuyenge mpaka kapauka ndio anakuona una maana.

Wallah bora hiyo hela nikanunua malaya kuliko nimpr hata mia yangu.

Kila kuku atakula kwa urefu wa shingo yake.
itakuwa huyu aliyesimuliwa hapa ni Kuku Kuchiii .aiseeee
 
Whatever be, lkn kuna cha kujifunza. Ni kama ka copy na paste maisha niliyopitia chuoni
Hii imenitokea kweli nimekuja kuandika humu baada ya huyu ex wangu kuja humu ikabidi niwashilikishe wana jf may be wanaweza kujifunza kitu.
 
Hii theory huwa hawaikumbuki. Huwa wana angalia present. Not future ndipo wanapojiloga.
Wanawake wengi hawajuagi kuwa mwanaume kuwa broke ni temporary situation katika maisha, with the right resource unaweza kuwa mtu tofauti kabisa in a few years!
 
Hii kauli nzito sana kaka. Binafsi nimeichukilia kwa uzito inamaana kubwa sana.
Kwakweli asemayo mzee wako ni kweli kabisaa
Baba yangu alinambiaga,,Mwanangu siku nilipoacha kuwafukuzia wanawake, nikaanza kujipa Thaman, Mama yako alinifuata mwenyewe.


Wanawake wengi. ,, Hawapendi mwanaume akiwa mtafutaji. ,,wanataka wakukute unamaisha.
 
ofcoz japokuwa uandishi wangu mbovu nimetype nikiwa kazini nimetingwa na kazi nimefanya hivi kumuonesha ulivyokuwa unaniliza kwa hali yangu ya uanafunzi haimanishi kuwa ningedumu nayo mpaka leo.Japokuwa nimetumia hela nyingi moyo wangu umeridhika nimemuachia homa.
Mlete kwangu atatakata tuu
 
Nilianza kujifunza kukubali kuwa nimeshatemwa taratibu kwa msaada na usimamizi wa rafiki yangu akaanza kunikeep bize na masomo na mazoezi mpaka ikafika point nikakubali kuwa huyu sio wangu japokuwa kuna wakati alikuwa ananimiss na kujirudi kiuongo uongo ila upendo nikaanza kuuvua taratibu nikajiapiza sitaki mbwa yeyote wa kike aharibu furaha,masomo,moyo na hata afya yangu.
Maamuzi magumu kwa mtu makini na wakati sahihi.

Big up bro
 
Back
Top Bottom