Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,709
- 23,144
- Thread starter
- #21
Mi nilimleta huku kwa ndege japokuwa nilijitutumua sana hela zilinitoka kutokana na ujio wake ila nimejikuta nimefanya jambo ambalo limesuuza roho yangu nae aumie kisaikolojia kama mimi enzi zile.Akome mi ex wangu alivyogundua sina hela alianza ninyanyasa kupenda out za gharama tukaachana. Mwaka huu tulionana Dar kachoka balaa full kunuka jasho. Tako alilokuwa nalo halipo. Kujirud karudsha mapenzi kakuta nshabeba mke. Yupo zake anapigika.