Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Kwanini mkuu?Nahisi kama nawaunga mkono kina magufuri
Watumie common sense ipi wakati walikuwa wanatimiza wajibu wao kisheria? Wangekataa kupokea maombi na kufuata mchakato wa kawaida huoni kuwa ingeweza kuleta mgogoro wa kisheria? Hapo common sense ilkuwa ni kupokea na kukataa kuroa leseni kwa kufuata vigezo vya kitaalamu na kimaadili.Hii ni common sense, Walitakiwa kujiongeza toka mwanzo!
Baada ya haya yote yakusimamia uamuzi wao... hapa kazi tu