EWURA yapandisha bei ya mafuta nchini

Nchi hii Ccm mfanye kila liwezekanalo mumkabidhi George Boniphas Simbachawene Msomi asiye na makuu na mtu, mwenye upeo na hofu ya Mungu asiye mnafiki mpenda watu na mwona mbali kabisa. Tatizo la Ccm wanaangalia wapiga kelele wanawapa nchi badala ya kuangalia presidential materials ndio maana leo tupo tusipopajua.
Mshenzi yule alikimbilia kupitisha miswaada ya kijinga leo hii hatuna kitu kwenye gesi na mafuta,
 
Kwako Rais wa Tanzania tunakuomba uwaambie wafanyabiashara ya mafuta ya petrol na Diesel wauze shilingi 1000 tu. Ukifanikiwa nasema wapinzani wote tutakuunga mkono.
 
Ngoja nimpigie simu rafiki yangu crown prince bin Salman ajitahidi kuongeza uzalishaji wa mapipa zaidi hili bei ipungue hili nyinyi maskini mnaolialia humu mpate nafuu
 
Chagua kimoja tuwape katiba mpya au tuwashushie Bei ya mafuta Kama ulivyoomba
 
Nchi hii Ccm mfanye kila liwezekanalo mumkabidhi George Boniphas Simbachawene Msomi asiye na makuu na mtu, mwenye upeo na hofu ya Mungu asiye mnafiki mpenda watu na mwona mbali kabisa. Tatizo la Ccm wanaangalia wapiga kelele wanawapa nchi badala ya kuangalia presidential materials ndio maana leo tupo tusipopajua.
George Boniphas Simbachawene = Mwigugulu Lameck Madelu Nchemba = Wote wameshindwa Wizara, vipi kuhusu nchi ?
 
Leo hii sikuamini macho yangu nilipouziwa mafuta ya dizeli kwa lita moja Tshs.2550 hapa Mwanza. Miezi michache iliyopita mafuta ya dizeli ilikuwa ama Tshs.2150 hivi. Hiyo tofautti ni kubwa sana. Nauliza kuna tattizo gani bei kupanda kwa kiasi hicho?. Mafuta ndo kila kitu na hii inapelekea gharama ya maisha kuwa ghali. Ni wakati muafaka Serikali kusimamia bei ya mafuta vinginevyo wanyonge watapata taabu sana.
"Koryo2, HEBU TUSAIDIE WEWE UNADHANI CHANZO KINAWEZA KUWA NI NINI; EWURA WAMETOA SABABU GANI YA KUPANDISHA BEI? NI UPI UTARATIBU WA EWURA WA KUPANDISHA BEI?
 
Mishahara majadaja makaravati na pension zimetulia wala hazijigusi
 
kwa nnavyojua mimi, hili suala lipo nje ya uwezo wa nchi yetu hata nchi nyingine yoyote isipokuwa marekani LEO rais Trump mwenyewe kwa kinywa chake amekiri kuwa hata yeye ana hofu kuwa vikwazo vya Iran viaweza kuleta matatizo kwenye soko la mafuta, lakini akasema ndo maana amewarusu baadhi ya washirika wake waendelee kununua mafuta ya Iran ili hali isiwe mbaya.
tutaanguka hivi hivi huku tukijiaminisha sio matatizo yetu. I mean ni watu wengine ndio wanatuletea hizi shida.
 
Back
Top Bottom