Tena bila EWURA Kwa hali ya mafuta Duniani mngenunua mafuta Lita elfu 5 kwa mijini. Vijijini ingefika elfu 10nafikiri EWURA waangalie upya huu utaratibu wa kutangaza bei ya mafuta Kila mwezi
Rais pekee ambaye hakuwahi kuvuka bahari! Sijui tatizo lilikuwa nini.Ndiyo maana jpm alishindwa kuishi nchi hii.
Ndiyo maana jpm alishindwa kuishi nchi hii.