Anaetoa siri za Bei ya Mafuta kila Mwezi anatutesa Wananchi

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
9,656
15,990
Naendelea na kilio changu cha ulanguzi wa biashara ya mafuta. Hivi sasa ukipita vituo vingi vya mafuta unaambiwa yameisha. Huu umekua kama mchezo sasa kuwa kila ikikaribia jumatano ya mwanzo wa mwezi ambapo ndio bei mpya za mafuta hutangazwa basi wenye vituo vya mafuta wanazuia kutoa huduma kusubiri bei mpya.

Sasa mimi nauliza huko EWURA ni nani anaetoa siri za bei ya mafuta kila mwezi kwa Wafanyabiashara hawa ambao nao kwa kutaka kwao maslahi mazuri wanaficha bidhaa hiyo muhimu wananchi tuendelee kupata tabu?

Nauliza tena Waziri Januari Makamba hivi umeshindwa kabisa kuwadhibiti wauzaji wa mafuta na kwamba sasa wajichukulie tu sheria mkononi?

Mwisho kabisa naendelea kumshauri Mh. Rais Samia mama chukua hatua kwenye sekta hii ya mafuta kama EWURA wameshindwa kuisimamia ni bora uivunje wapewe serikalini huko labda itasaidia .

Ni hayo tu kwa leo.
 
Naendelea na kilio changu cha ulanguzi wa biashara ya mafuta. Hivi sasa ukipita vituo vingi vya mafuta unaambiwa yameisha . Huu umekua kama mchezo sasa kuwa kila ikikaribia jumatano ya mwanzo wa mwezi ambapo ndio bei mpya za mafuta hutangazwa basi wenye vituo vya mafuta wanazuia kutoa huduma kusubiri bei mpya.

Sasa mimi nauliza huko EWURA ni nani anaetoa siri za bei ya mafuta kila mwezi kwa Wafanyabiashara hawa ambao nao kwa kutaka kwao maslahi mazuri wanaficha bidhaa hiyo muhimu wananchi tuendelee kupata tabu?

Nauliza tena Waziri Januari Makamba hivi umeshindwa kabisa kuwadhibiti wauzaji wa mafuta na kwamba sasa wajichukulie tu sheria mkononi?

Mwisho kabisa naendelea kumshauri Mh. Rais Samia mama chukua hatua kwenye sekta hii ya mafuta kama EWURA wameshindwa kuisimamia ni bora uivunje wapewe serikalini huko labda itasaidia .

Ni hayo tu kwa leo.
We hujui kwamba mabosi wengi wa Ewura ndio wauza mafuta wakubwa hapa nchini? Kaa hivyo hivyo ukisubili huruma nchi hii imeshauzwa na bei inapaa saizi muda si mrefu lita itakuwa sh 5000
Mama anaupiga mwingi!
 
Naendelea na kilio changu cha ulanguzi wa biashara ya mafuta. Hivi sasa ukipita vituo vingi vya mafuta unaambiwa yameisha. Huu umekua kama mchezo sasa kuwa kila ikikaribia jumatano ya mwanzo wa mwezi ambapo ndio bei mpya za mafuta hutangazwa basi wenye vituo vya mafuta wanazuia kutoa huduma kusubiri bei mpya.

Sasa mimi nauliza huko EWURA ni nani anaetoa siri za bei ya mafuta kila mwezi kwa Wafanyabiashara hawa ambao nao kwa kutaka kwao maslahi mazuri wanaficha bidhaa hiyo muhimu wananchi tuendelee kupata tabu?

Nauliza tena Waziri Januari Makamba hivi umeshindwa kabisa kuwadhibiti wauzaji wa mafuta na kwamba sasa wajichukulie tu sheria mkononi?

Mwisho kabisa naendelea kumshauri Mh. Rais Samia mama chukua hatua kwenye sekta hii ya mafuta kama EWURA wameshindwa kuisimamia ni bora uivunje wapewe serikalini huko labda itasaidia .

Ni hayo tu kwa leo.
Bosi wa EWURA si ni 'mume' wa Tulia Ackson? EWURA sijui imekuwaje tangu huyu jamaa alipopewa huu ukurugenzi
 
Naendelea na kilio changu cha ulanguzi wa biashara ya mafuta. Hivi sasa ukipita vituo vingi vya mafuta unaambiwa yameisha. Huu umekua kama mchezo sasa kuwa kila ikikaribia jumatano ya mwanzo wa mwezi ambapo ndio bei mpya za mafuta hutangazwa basi wenye vituo vya mafuta wanazuia kutoa huduma kusubiri bei mpya.

Sasa mimi nauliza huko EWURA ni nani anaetoa siri za bei ya mafuta kila mwezi kwa Wafanyabiashara hawa ambao nao kwa kutaka kwao maslahi mazuri wanaficha bidhaa hiyo muhimu wananchi tuendelee kupata tabu?

Nauliza tena Waziri Januari Makamba hivi umeshindwa kabisa kuwadhibiti wauzaji wa mafuta na kwamba sasa wajichukulie tu sheria mkononi?

Mwisho kabisa naendelea kumshauri Mh. Rais Samia mama chukua hatua kwenye sekta hii ya mafuta kama EWURA wameshindwa kuisimamia ni bora uivunje wapewe serikalini huko labda itasaidia .

Ni hayo tu kwa leo.
Tumieni CNG kwenye magari, itasaidia
 
Wafanyabiashara ndio wanunuzi wa mafuta. Wao wanajua bei ya kununulia na gharama nyingine zote. Kabla hata ya Ewura kujua bei itapanda wafanyabiashara ndio wa kwanza kujua.
Na tambua mafuta yananunuliwa in bulking.
Sasa hili tatizo la kuzuia mafuta yasiuzwe kusubiri bei mpya kila inapokaribia jumatano ya mwanzo wa mwezi litaisha lini? Ninani mwenye jukumu la kusimamia hii biashara ya mafuta?
 
Back
Top Bottom