Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,416
- 15,971
Kuna sekeseke limetokea hapa limenihuzunisha sana, ipo hivi. Kuna jamaa yeye alikua anamchunga sana mke wake, haruhusiwi kutoka bila taarifa ikafikia akamnyang'anya simu kabisa kiasi kwamba mwanamke akawa haruhusiwi kumiliki hata kitochi tu.
Jamaa akajiona YES nimemaliza hamna tena mabaharia kumlia mke wake, bwana bwana kumbe ule msemo wa wahuni sio watu wazuri una maana kubwa sana. Ilitokea mwalimu wa madrasa akawa anamtaka mke wa jamaa. Unajua mbinu gani alikua anatumia!?
Eeeeh walaaaa umepatia kabisa, kuna mtoto wa jamaa alikua anasoma madrasa ambapo huyo mwalimu ndio anafundisha. Mtoto akitoka madrasa anarudi na ujumbe (barua) na wakati wa kwenda anaenda na feedback (barua) hivyo yaani, ustaadh akitaka mzigo anampa mtoto barua dogo anapeleka kwa mama ake (sijui alikua anajua ni matokeo ya pepa za madrasa au vipi) na mwanamke akipokea anatafuta udhuru anaenda kupigwa mkuyenge.
JAMANI WANAUME WENZANGU MWANAMKE HACHUNGWI.
Jamaa akajiona YES nimemaliza hamna tena mabaharia kumlia mke wake, bwana bwana kumbe ule msemo wa wahuni sio watu wazuri una maana kubwa sana. Ilitokea mwalimu wa madrasa akawa anamtaka mke wa jamaa. Unajua mbinu gani alikua anatumia!?
Eeeeh walaaaa umepatia kabisa, kuna mtoto wa jamaa alikua anasoma madrasa ambapo huyo mwalimu ndio anafundisha. Mtoto akitoka madrasa anarudi na ujumbe (barua) na wakati wa kwenda anaenda na feedback (barua) hivyo yaani, ustaadh akitaka mzigo anampa mtoto barua dogo anapeleka kwa mama ake (sijui alikua anajua ni matokeo ya pepa za madrasa au vipi) na mwanamke akipokea anatafuta udhuru anaenda kupigwa mkuyenge.
JAMANI WANAUME WENZANGU MWANAMKE HACHUNGWI.