Nyama ya nyumbani ni tofauti na hiyo ya eneo la kujidai.Friji limejaa nyama mpaka nataka nilitupe 🤣
General hapa bwa shee,,ukirudi bongo na ukawa umesogea kanda ya kati usisite kunicheki..tukachome mbuzi na bia bwa sheHivi upo General ,makole au mirembe bwashee?
Hatuogopi...Kijana nakuandikia wewe wa mika 20 mpka 35 ....
Ukiingia kwenye mfumo wa kuitwa kuhudumia na bado haujajipata kipesa ,umekwisha
Ni mwendo wa buckets na makali ya kila aina na shisha mezani, huwambii kitu. Na pisi mbili tatu za kuzugia.Ukiingia kwenye mfumo wa kuitwa kuhudumia na bado haujajipata kipesa ,umekwisha 🤗.....
Sophia Gibore?Unamjua madam kibore now ni professor kibore?
Kuhudumia ukiwa na maana ipi mdau?Ama maana yingisha kama imekwisha zungusha round?Kijana nakuandikia wewe wa mika 20 mpka 35 ....
Ukiingia kwenye mfumo wa kuitwa kuhudumia na bado haujajipata kipesa ,umekwisha 🤗.....
Kujipata naongelea wale watu wanaweza fanya hata maamuzi ya dharura ya kipesa hata bila kuwaza, bila kutetereka kwa chochote......
Wewe bado una unga unga maisha achana na ufala wa kuvimba kifala ....eti kuhudumia 😅 utakufa kibudu fala wewe.
Karibu pombe🍻
Yoyote Cha msingi mkono uende kinywaniKazi gni bwashee
kula komon vibe mon had monSema ni vibe la muda mfupi sana,,then unarudi kwenye hali yako ya kawaida.