Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,144
- 71,805
Et nikifikisha miaka 30 nitakua tayari na nyumba, Gari, Mke, Biashara kadhaa ,kazi nzuri n.k ?.... Hivi Kijana kama wewe uwazaye haya wee ni Mungu.
Toka juzi Kuna nyuzi naziona ona humu..
Mara... Ulijisikiaje ulipokutana na jama mlosoma ,yeye kafanikiwa.
Mara... unajisikiaje kufika miaka 30, hujafanikiwa .
Acheni kabisa kuwaza Ujinga wa namna hiyo , Mtajikuta mnajiingiza kwenye HARAMU na MISONGO YA MAWAZO NA KUJIUA.
Nawapa Mfano ...
Jiji la California Na New York yote yapo marekani ,ila huwezi amini yamepishana Masaa 3.
OBAMA Amekua Rais wa Marekan, akiwa na miaka 47.
Donald Trump Kawa Rais akiwa namiaka 70.
Mtu Mmoja mpaka anapata Degree ya kwanza ,kaipata akiwa namiaka 35 ila kazi kaja ipata anamiaka 36.
Mtu mwingine Kapata Degree anamiaka 23 ila mpaka anagonga 36 HANA AJIRA WALA KAZI YA KUELEWEKA.
Mtu Fulani, anafanikiwa akiwa na miaka 30, Ila anakuja KUFA akiwa na miaka 40.,, mwingine anafanikiwa akiwa na miaka 40 anaishi Miaka 90.
Hapa Duniani, Mungu alimpa Kila mtu na wakati wake, hamna aliyechelewa Wala kuwahi, wewe jua MUDA wako wa kuzaliwa Kufanikiwa Hadi kufa unatofautiana na muda wangu.
Maana yake ni nini? Msikae kujiwekea Deadline, msiishi kwenye kanuni au Muongozo ya watu wengine walojiwekea wao.
Pambana
Omba Mungu
Toa Zaka na Sadaka.
Toka juzi Kuna nyuzi naziona ona humu..
Mara... Ulijisikiaje ulipokutana na jama mlosoma ,yeye kafanikiwa.
Mara... unajisikiaje kufika miaka 30, hujafanikiwa .
Acheni kabisa kuwaza Ujinga wa namna hiyo , Mtajikuta mnajiingiza kwenye HARAMU na MISONGO YA MAWAZO NA KUJIUA.
Nawapa Mfano ...
Jiji la California Na New York yote yapo marekani ,ila huwezi amini yamepishana Masaa 3.
OBAMA Amekua Rais wa Marekan, akiwa na miaka 47.
Donald Trump Kawa Rais akiwa namiaka 70.
Mtu Mmoja mpaka anapata Degree ya kwanza ,kaipata akiwa namiaka 35 ila kazi kaja ipata anamiaka 36.
Mtu mwingine Kapata Degree anamiaka 23 ila mpaka anagonga 36 HANA AJIRA WALA KAZI YA KUELEWEKA.
Mtu Fulani, anafanikiwa akiwa na miaka 30, Ila anakuja KUFA akiwa na miaka 40.,, mwingine anafanikiwa akiwa na miaka 40 anaishi Miaka 90.
Hapa Duniani, Mungu alimpa Kila mtu na wakati wake, hamna aliyechelewa Wala kuwahi, wewe jua MUDA wako wa kuzaliwa Kufanikiwa Hadi kufa unatofautiana na muda wangu.
Maana yake ni nini? Msikae kujiwekea Deadline, msiishi kwenye kanuni au Muongozo ya watu wengine walojiwekea wao.
Pambana
Omba Mungu
Toa Zaka na Sadaka.